Sasa kama una uhakika kuwa sababu ya hayo maji ni nyanyachungu na ndizi kwanini humwambii aache kutumia??Habari wakuu.
Naombeni msaada wenu wa hali na Mali.
Nimepata msichana ambaye niko naye kwenye mahusiano mapya, nimetokea kumpenda sana na nahitaji awe mke wangu mungu akipenda hivi karibuni.
Tatizo ni kwamba huyu Dada ni mpenzi wa nyanya chungu na ndizi, yaani kila siku lazima ale nyanyachungu na hivyo kupelekea ukeni awe na maji mengi.
Je afanyeje kupunguza Maji ukeni.
Kuna dawa ya kukausha hayo Maji?
Nisaidieni siko tayari kumpoteza sababu ya maji ukeni. Naombeni msaada wa aina yeyote wajameni.
mkuu unisamehe kwa haya ntakayosema! huyo mpenzi wako hutaki mpoteza!...sawa....nani alikuambia kula ndizi ama nyanya chungu huongeza maji ukeni?!...km unahisi hivyo mzuie asivitumie!...ila kuwa makini si kila jambo lazma uombe ushauri humu!....kingine mpe mazoez kila asubuh na jion!Habari wakuu.
Naombeni msaada wenu wa hali na Mali.
Nimepata msichana ambaye niko naye kwenye mahusiano mapya, nimetokea kumpenda sana na nahitaji awe mke wangu mungu akipenda hivi karibuni.
Tatizo ni kwamba huyu Dada ni mpenzi wa nyanya chungu na ndizi, yaani kila siku lazima ale nyanyachungu na hivyo kupelekea ukeni awe na maji mengi.
Je afanyeje kupunguza Maji ukeni.
Kuna dawa ya kukausha hayo Maji?
Nisaidieni siko tayari kumpoteza sababu ya maji ukeni. Naombeni msaada wa aina yeyote wajameni.
Sasa si umwambiea aaachane na nyanya chungu mbona wauliza maswali yenye majibu unayoHabari wakuu.
Naombeni msaada wenu wa hali na Mali.
Nimepata msichana ambaye niko naye kwenye mahusiano mapya, nimetokea kumpenda sana na nahitaji awe mke wangu mungu akipenda hivi karibuni.
Tatizo ni kwamba huyu Dada ni mpenzi wa nyanya chungu na ndizi, yaani kila siku lazima ale nyanyachungu na hivyo kupelekea ukeni awe na maji mengi.
Je afanyeje kupunguza Maji ukeni.
Kuna dawa ya kukausha hayo Maji?
Nisaidieni siko tayari kumpoteza sababu ya maji ukeni. Naombeni msaada wa aina yeyote wajameni.
Wewe sema unataka kutuambia nyanya chungu huongeza maji ukeni,hilo ni kweli nilifanyia majaribio.Dawa mpige marufuku asile hivyo vitu Ila kwa wataalamu kama tunayapenda unakula msigo ule mlio wa maji huwa na hamasa yake,pia kuyakausha wakati wa tendo pia ni ujuzi wakeHabari wakuu.
Naombeni msaada wenu wa hali na Mali.
Nimepata msichana ambaye niko naye kwenye mahusiano mapya, nimetokea kumpenda sana na nahitaji awe mke wangu mungu akipenda hivi karibuni.
Tatizo ni kwamba huyu Dada ni mpenzi wa nyanya chungu na ndizi, yaani kila siku lazima ale nyanyachungu na hivyo kupelekea ukeni awe na maji mengi.
Je afanyeje kupunguza Maji ukeni.
Kuna dawa ya kukausha hayo Maji?
Nisaidieni siko tayari kumpoteza sababu ya maji ukeni. Naombeni msaada wa aina yeyote wajameni.
umeongea test flan ivi ya lugha ya jeshini1. Nyanya chungu na ndizi hazina uhusiano wowote na hayo maji.
2. Hayo maji ni ishara kuwa umemfikisha mwenzio kileleni na ameridhika vya kutosha.
3. Sio kila mwanamme anaweza kumfikisha huyo bibie hapo.
4. Hebu tueleze - hujawahi kukutana na hali hii kwa mwanamke mwengine?
5. Nadhani tatizo ni lako wewe - unatoa ngoma burudani sana na wala sio huyo msichana wa watu - maskini.
Tiba:
Wekeni mataulo mengi. Halafu endeleeni kwa wakati wenu. Hamna tatizo hapo mkuu.