Ana masters degree ya MBA in human resource lakini anaishi na kulipwa mshahara kwa cheti cha health care alicho somea miezi mitatu.

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Ujuzi au skills acquisition ni muhimu kuliko degree zisio kua na practicle skills, Kaka angu nae mfuata ameangaika na vyeti vyake kufanya accreditation ili aondoke navyo ughaibuni apate ajira.

Kumbe alivofika kule fursa ilio msaidia kuendelea kuishi Toronto Canada ni kuingia chuo cha kati (VETA) kupata ujuzi special wa healthcare, vile vyeti vyake hajavitumia tena kasha virudisha hapa Tanzania kwenye kabati haoni kama kuna siku atavitumia tena.

Watanzania wengi wana fikra potofu kwamba kupata degree ndo mwisho wa elimu ya juu bila ujuzi maalumu wakiambiwa kuenda Veta kupata skills wanaona kama wa medharauliwa, lakini kwa hali halisi graduate watanzania ni mueupe kabisa hata awe muhadisi au mualimu hata lugha tu ya kiingereza alio somea miaka yote anashindwa kuimudu, kuna haja ya kubadili mfumo wa elimu na mindset zetu ziwe relevant na ajira ziliopo kwa sasa.
 
Tulio maliza degree na hautna ajira sioni kama kana dhambi tukiingia kwenye short kozi zinazo uzika sokoni kwasasa kwamfano kwasasa mtu alio hitimu ualimu ni kazi bure ajira hamna kwa serikali na tasisi binafsi bora utafute short kozi ikusukume, tusiishi kwa kukalili maisha.
 
Waziri mkuu yupo sahihi.
 
Kwamba Kuna guarantee ukisoma shortcous unaweza kupata maisha mazuri au ukakidhi mahitaji Yako? Kwamb umeshindwa kubadili ulichosomea kua ela uongeze chet kingine? Au research imefanyika wangap wameprov kwa kufanya Ivo swali la pili je haiwez kutokea saturation miaka mitano nyuma demand ya walimu na madaktar ilikua kubwa unatoka chuon direct kazin vipi Leo
 
Wewe nawe ni msomi mpumbavu.

Kula hizo degree sasa!
 
Maisha ya kutafuta ajira ni mafupi hamana mda wa kusubiria neenda na kilichopo kwa wakati huo.....sasa hivi kupata flat degree sio muhimu tena.
 
Kupata kazi Canada sio rahisi kihivyo kwanza umetokea kwenye hizi nchi zetu, vyeti vyako huonwa kama takataka
 
Ndio unafikiri kupata kazi kwenye nchi za ulimwengu
wa kwanza kwa cheti cha degree za nchi za ulimwengu
wa tatu ni rahisi.
Kwahiyo degree ya Udsm ni sawa sawa na matokeo ya form four kwenye nchi za ulimwengu wa kwanza kama Canada au US.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…