Ana miaka 14, ni lazima Kidato cha Kwanza au QT inatosha?

Ana miaka 14, ni lazima Kidato cha Kwanza au QT inatosha?

Kwa elimu hii ya bongo bora asome miaka 2 ya QT kama kichwa chake kipo smart.

Miaka 4 yote halafu akitoka anakuwa hana fani yoyote, it's non Sense
Hii ni kitu nawaza sana itakuwaje coz miaka 18 bila taaluma ni useles
 
Kumeanza kuchangamka sasa,.
Wazazi acheni ujuaji sometimes

Miaka14 unataka umuwahishe wapi?,. Mwache walau amalize kidato cha nne
awe anajitambua anataka nini ndio achague fani anayoitaka
 
Kumeanza kuchangamka sasa,.
Wazazi acheni ujuaji sometimes

Miaka14 unataka umuwahishe wapi?,. Mwache walau amalize kidato cha nne
awe anajitambua anataka nini ndio achague fani anayoitaka
Sikuhizi Fani tunachagua Form one
 
Kwani miaka 14 si miaka ya kawaida ya kujiunga kidato cha kwanza?; Peleka mtoto kidato cha kwanza asome kawaida; Achana na short cut kwani utamuharibia maisha bure (hajachelewa)
Najua kuna wachache huanza na miaka 12 wale wenye kichwa chepesi (walianzishwa mapema)
 
Mimi mdogo wangu alisoma Uganda hadi darasa la nne.

Nikamleta bongo kapiga QT na kapata one Kali ya form four nikampeleka six mwaka 1 kapiga one sasa yupo nje anasoma degree

Ana maika 16 tu
 
Back
Top Bottom