Ana mimba na Condom imetumika kwa usahihi


Nimekusoma mtu wangu
 
 

Hili la kifutio kimoja hili nalo neno kunaweza kuwepo uzembe wa namna hiyo
 
Derimto kwa nini ulipojua kuwa wanacheat hukuwashauri kuacha???haya yote yasingetokea!

Dogo aliufatilia huu mzigo muda mrefu sana bila mafanikio na mimi nilijua kuwa alishanyimwa ila nadhani maombi yake yalikubaliwa siku za karibuni na ndipo yakawakuta haya makubwa wasiyoyategemea
 
Kwanza washukuru Mungu ni mimba tu na sio ngoma wamepeana!
 
@ lukolo and demrito the percentage stated above ni kwa 'condom failure rate as a contraceptive' and not as a barrier against VVU.
 
ule mchuzi tu wa mwanzoni unatosha kumpa mimba,kama aligusisha kichwa na mchuzi ukitoka hapo hapo,walee mimba tu
 
Matumizi ya condom is all but personal assessment! Mtumiaji anajua kama alitumia au la!
 
Dogo aliufatilia huu mzigo muda mrefu sana bila mafanikio na mimi nilijua kuwa alishanyimwa ila nadhani maombi yake yalikubaliwa siku za karibuni na ndipo yakawakuta haya makubwa wasiyoyategemea

Bado sikuelewi,,,labda utakapojibu memo ya Preta,,,kwanini dogo aendelee kufatilia wakati alishaoa Derimto????halafu inaonekena ulikuwa mshenga,,haya hii mimba inakuwaje??mume halali atashikishwa?au mtaendeleza dhambi mkaitoe??mtihani huo
 
Ntataka kutafunia na makukuru,,,halafu huyu Derimto huyu!!naomba umpe memo ijumaa

Jamani majungu hayo mi.huwa nawachanganya sasa mkiwa na ushirikiano na Preta si mtaniumbua hebu katulieni huko nipate madaktari humu
 

Nimekusoma mkuu ila nadhani mahakama hii ya jf itatoa hukumu ya kitaalamu zaidi ya mitizamo yangu binafsi nimeshawahi kusuluhisha vimeo vingi kwa ufundi mkubwa ila hapa nahisi kama nachemsha vile kulingana na tukio lenyewe
 
mwambie aende akapime DNA!!!!!
kuna harufu ka uchakachuaji hapo..:teeth:
what a shame,sijui wataficha wapi nyuso zao pindi wapenzi wao wakijua upuuzi wao...
wote ni vicheche,ila huyo mwanamke kazidi!!!usimtetee kwa vile unamjua...mtu ndoa iko matatani miezi mitano tu kaamua kugawa nje???!!!.. huyo ni kicheche...period!...utamwaminije mtu wa hivi kama hajachakachuliwa kwingine pia?
 
ule mchuzi tu wa mwanzoni unatosha kumpa mimba,kama aligusisha kichwa na mchuzi ukitoka hapo hapo,walee mimba tu

Nashukuru hii nayo ni point muhimu nayakusanya haya yote niangalie nitatoa ushauri wa aina gani
 

?????????????????:embarrassed:
 

Wakati wa kufanya uzinzi wao walitegemea nini hayo ndio majibu
 
Bado sikuelewi,,,labda utakapojibu memo ya Preta,,,kwanini dogo aendelee kufatilia wakati alishaoa Derimto????halafu inaonekena ulikuwa mshenga,,haya hii mimba inakuwaje??mume halali atashikishwa?au mtaendeleza dhambi mkaitoe??mtihani huo

Kama kuna ukweli wa kiasi fulani nilishawahi kuwanganisha kimazungumzo kama miaka 4 iliyopita na hapakuwa na mafanikio ila walivyokuja kuonjana hawakuniambia zaidi wameniambia baada ya kulikoroga na siwezi kuwatema kirahisi ni marafiki jamani
 
tusiamini amini condom sana,bt dis lady kama aliweza kutembea na mshkaj huyu,we cant rule out the posibility anaeza kawa katembea na mwingine kabla...cmshauri kuitoa,ila...duh kichwa kinauma.
 

Mwanamke ameolewa ana miaka 7 ya ndoa na ana watoto wawili tayari na huyo mume wake ila wameishi kwa mbinde sana na mume wake huyo na huyu wa kwetu ana mke na watoto watatu HIZI NI NDOA MBILI ZINATISHIA KUBOMOKA
 
Kama kuna ukweli wa kiasi fulani nilishawahi kuwanganisha kimazungumzo kama miaka 4 iliyopita na hapakuwa na mafanikio ila walivyokuja kuonjana hawakuniambia zaidi wameniambia baada ya kulikoroga na siwezi kuwatema kirahisi ni marafiki jamani

Hapo kinachotakiwa ni kujua what next,,maana mimba imeshaingia.Nahisi kitu,,:A S-alert1: ngoja nilale mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…