Mapondo Mapoka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 269
- 121
Kwa kutumia NPV au IRR[emoji15]Anaonba ushauri, anataka kuchukua mkopo wa mkubwa,je Kwa basic salary hiyo ya 650000 atapata kiasi gani?
Anaonba ushauri na je atabaki na shilingi ngapi take home Kwa muda wa miaka 7?
Asanteni.
Kwa Compounded Interest Rate atabaki na 250,000Anaonba ushauri, anataka kuchukua mkopo wa mkubwa,je Kwa basic salary hiyo ya 650000 atapata kiasi gani?
Anaonba ushauri na je atabaki na shilingi ngapi take home Kwa muda wa miaka 7?
Asanteni.
Naomba calculation ya fixed account kwa crdb mkuu, Kama mtu akiweka 60milion atapata shingap kila mwezi kwa miaka 3Kwa CRDB kuna calculator yake ambayo unaingiza Basic na Take home na Muda unaotaka kukopa (miaka), itakupa possible loan unayoweza pokea na malipo kila mwezi.
Nimeweka link hapa CRDB Mkopo
Ngoja nikuchekie ila sikushauri.Naomba calculation ya fixed account kwa crdb mkuu,Kama mtu akiweka 60milion atapata shingap kila mwezi kwa miaka 3
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Kwanza anataka abaki na how much after deductions za mkopo? Na je anata lipa kwa muda gani na interest rate iwe chardedAnaonba ushauri, anataka kuchukua mkopo wa mkubwa,je Kwa basic salary hiyo ya 650000 atapata kiasi gani?
Anaonba ushauri na je, atabaki na shilingi ngapi take home kwa muda wa miaka 7?
Asanteni.
Mkuu ukipata nafasi wacheki UTT, naona interest zao ziko njema zaidi ya mabenkiNaomba calculation ya fixed account kwa crdb mkuu, Kama mtu akiweka 60milion atapata shingap kila mwezi kwa miaka 3
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Suala sio kukopa, suala ni mkopo anaenda kuufanyia nini.
Ushauri mzuri ni kupima kile kinachoenda kufanya na mkopo wenyewe.
CARDB Wana mikopo riba nafuu 13% ila lazima uhamishie mshahara upitie kwao na tatzo lingine nasikia wamezidiwa na wateja wanaotaka mikopo kwahio unaweza kungoja hata miezi 3 hujapata mkopo 😥Kwa CRDB kuna calculator yake ambayo unaingiza Basic na Take home na Muda unaotaka kukopa (miaka), itakupa possible loan unayoweza pokea na malipo kila mwezi.
Nimeweka link hapa CRDB Mkopo
Cha kwanza ni kujua Bank anayotaka kukopa inatoa mkopo kwa asilimia ngapi?Anaonba ushauri, anataka kuchukua mkopo wa mkubwa,je Kwa basic salary hiyo ya 650000 atapata kiasi gani?
Anaonba ushauri na je, atabaki na shilingi ngapi take home kwa muda wa miaka 7?
Asanteni.
We nisaidie tu siitaji kuzitumia hizi kw Sasa nataka nizipige fixed account kwa miaka 3Ngoja nikuchekie ila sikushauri.
Almost kwenye 8 millions kutoka na basically salary yko mkuuWe nisaidie tu siitaji kuzitumia hizi kw Sasa nataka nizipige fixed account kwa miaka 3
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Achana na fixed account siku izi dili ni UTTNahitaji kufahamishwa kuhusu fixed account wakuu