Ana watoto watatu, ila hataki mwanaume mwenye mtoto

Ana watoto watatu, ila hataki mwanaume mwenye mtoto

Gustavo Gaviria

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2018
Posts
630
Reaction score
1,113
Huu ubinafsi wa kiwango cha juu sana

Una watoto watatu wa kwako ila unasema huamini katika kuwa mahusiano na mwanaume mwenye mtoto.

Ama unapenda mwanaume awe baba kwa watoto wako ambaye ulizaa na mtu mwingine. Ila akiwa baba na kutimiza majukumu kwa mtoto wake unakunja sura na amani inapotea.

Wanawake wengi huwa ni chanzo cha mwanaume kuignore mtoto wake aliyempata kabla ya kukutana na mwanamke mwingine.

Ukijali kwake sawa, ukijali kwako bugudha yaanza...

Kuna mambo.
 
Na wewe mwambie huna mtoto hata mmoja na hutaki mwanamke mwenye mtoto (Weka ugoko, niweke chuma).
Yaani kiume kabisa, ninamwambia nina watoto kadhaa, kama uko tayari kuwalea kuja tuishi na kama hauko tayari pota hivi.

Mwanaume kama kweli mwanaume, kutelekeza watoto kwa bibi kisa mkeo hataki kuwalea watoto asiozaa yeye, ni kosa kubwa sana.

Hata awe bikira, akinipa hilo sharti, abaki tu na maisha yake.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Huu ubinafsi wa kiwango cha juu sana

Una watoto watatu wa kwako ila unasema huamini katika kuwa mahusiano na mwanaume mwenye mtoto.

Ama unapenda mwanaume awe baba kwa watoto wako ambaye ulizaa na mtu mwingine. Ila akiwa baba na kutimiza majukumu kwa mtoto wake unakunja sura na amani inapotea.

Wanawake wengi huwa ni chanzo cha mwanaume kuignore mtoto wake aliyempata kabla ya kukutana na mwanamke mwingine.

Ukijali kwake sawa, ukijali kwako bugudha yaanza...

Kuna mambo.
Duuh
 
Huu ubinafsi wa kiwango cha juu sana

Una watoto watatu wa kwako ila unasema huamini katika kuwa mahusiano na mwanaume mwenye mtoto.

Ama unapenda mwanaume awe baba kwa watoto wako ambaye ulizaa na mtu mwingine. Ila akiwa baba na kutimiza majukumu kwa mtoto wake unakunja sura na amani inapotea.

Wanawake wengi huwa ni chanzo cha mwanaume kuignore mtoto wake aliyempata kabla ya kukutana na mwanamke mwingine.

Ukijali kwake sawa, ukijali kwako bugudha yaanza...

Kuna mambo.
Basi hapo atajitokeza Azizi Ki mwingine kuja kuoa mtu aliyezaa na wanaume wengine na kujitolea kutunza watoto wa wenzake huku yeye akibaki kuwa yaya tu na zezeta wa mapenzi.
 
Achana na single mother mjomba wala mtoto wa kike aliyelelewa na single mother utakuja kushukuru!
 
Huu ubinafsi wa kiwango cha juu sana

Una watoto watatu wa kwako ila unasema huamini katika kuwa mahusiano na mwanaume mwenye mtoto.

Ama unapenda mwanaume awe baba kwa watoto wako ambaye ulizaa na mtu mwingine. Ila akiwa baba na kutimiza majukumu kwa mtoto wake unakunja sura na amani inapotea.

Wanawake wengi huwa ni chanzo cha mwanaume kuignore mtoto wake aliyempata kabla ya kukutana na mwanamke mwingine.

Ukijali kwake sawa, ukijali kwako bugudha yaanza...

Kuna mambo.
Aziz Ki tafadhali njoo huku, kuna kuwadi mwingine hapa aliyeshindikana!
 
Back
Top Bottom