Anaandika Abbas Mwalimu kuhusu hukumu ya CAS

Anaandika Abbas Mwalimu kuhusu hukumu ya CAS

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
YANGA VS BERNARD MORRISON: UELEWA WANGU WA UAMUZI WA CAS

Jumatatu tarehe 22 Novemba, 2021.

Tarehe 12 Agosti, 2020 Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya TFF ilitoa uamuzi wa shauri la Yanga dhidi ya Morrison na kuamuru kuwa Mkataba wa Pili wa Yanga na Morrison haukuwa halali na hivyo Morrison kutakiwa kuirejeshea Yanga USD 30,000 ilizokuwa imempa. Hivyo:

(1) Yanga ilipinga maamuzi ya kuthibitishwa Bernard Morrison kwenda Simba na tayari ilikuwa imempa USD 30,000/=

(2) Pili kutokana na hilo Yanga ilmtaka ailipe USD 200,000/= klabu hiyo kama gharama za kuvunja Mkataba.

CAS wamekubaliana na maamuzi ya Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji hivyo Morison anatakwia arejeshe USD 30,000/= (Takribani Tshs 75,000,000/=) alizopokea kutoka Yanga.

Hakuna gharama nyingine za ziada ambazo Yanga au Morrison anatakiwa amlipe mwenzake kwa sababu gharama za kesi zilibebwa naYanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo pesa ya kurudisha italipwa na club sio issue,issue ni BM acheze mpira sasa aache utoto.
 
Iyo pesa ya kurudisha italipwa na club sio issue,issue ni BM acheze mpira sasa aache utoto.
Mbaka sasa unachokiona kwa Benard Morrison ndio uwezo wake halisi, usitegemee jipya zaidi ya kuwadanganya Marefa ili apewe penalty. Bahati mbaya kwake baadhi ya Marefa wamesha tambua aina ya mbinu chafu anazotumia.
 
Iyo pesa ya kurudisha italipwa na club sio issue,issue ni BM acheze mpira sasa aache utoto.

Mbona pesa alisharudisha kitambo,zile pesa ziliwekwa kinyemela kwa Account yake na Morrison akawaamuru Bank kurudisha zilikotoka.Aliweka wazi ile e-mail aliyomwandikia Manager wa Bank na ushahidi nadhani ndiyo ukawa mwanzo wa jina la “Wakili Msomi” baada ya kuweka evidence hadharani
 
YANGA VS BERNARD MORRISON: UELEWA WANGU WA UAMUZI WA CAS

Jumatatu tarehe 22 Novemba, 2021.

Tarehe 12 Agosti, 2020 Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya TFF ilitoa uamuzi wa shauri la Yanga dhidi ya Morrison na kuamuru kuwa Mkataba wa Pili wa Yanga na Morrison haukuwa halali na hivyo Morrison kutakiwa kuirejeshea Yanga USD 30,000 ilizokuwa imempa. Hivyo:

(1) Yanga ilipinga maamuzi ya kuthibitishwa Bernard Morrison kwenda Simba na tayari ilikuwa imempa USD 30,000/=

(2) Pili kutokana na hilo Yanga ilmtaka ailipe USD 200,000/= klabu hiyo kama gharama za kuvunja Mkataba.

CAS wamekubaliana na maamuzi ya Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji hivyo Morison anatakwia arejeshe USD 30,000/= (Takribani Tshs 75,000,000/=) alizopokea kutoka Yanga.

Hakuna gharama nyingine za ziada ambazo Yanga au Morrison anatakiwa amlipe mwenzake kwa sababu gharama za kesi zilibebwa naYanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu hoja kuwa "hakuna gharama nyingine ambazo Yanga au Morrison anatakiwa amlipe mwenzake ........" SIYO KWELI! Yanga watalipa gharama zote alizotumia Morrison kwenye kesi hii kwani aidha alitumia Wana sheria wake kumuwakilisha huko CAS in person au kwa maandishi; ni ukweli ulio wazi kuwa Morrison naye alitumia gharama zake kwenye kesi hii ambazo Yanga wana wajibika kumlipa. Pia Yanga watalipa gharama za vikao vyote vya CAS in this case!
 
Kuhusu hoja kuwa "hakuna gharama nyingine ambazo Yanga au Morrison anatakiwa amlipe mwenzake ........" SIYO KWELI! Yanga watalipa gharama zote alizotumia Morrison kwenye kesi hii kwani aidha alitumia Wana sheria wake kumuwakilisha huko CAS in person au kwa maandishi; ni ukweli ulio wazi kuwa Morrison naye alitumia gharama zake kwenye kesi hii ambazo Yanga wana wajibika kumlipa. Pia Yanga watalipa gharama za vikao vyote vya CAS in this case!
Kama Kuna gharama za Morrison kulipwa hukumu Ingeelekeza, labda Kama Morrison atafungua shauri jipya la kudai gharama za usumbufu katika kesi iyo. Na ili majaji wapewe shauri ilo Inabidi Morrison kwa pesa yake agharamie ukaaji na usikilizeaji wa dai lake jipya.
 
Kama Kuna gharama za Morrison kulipwa hukumu Ingeelekeza, labda Kama Morrison atafungua shauri jipya la kudai gharama za usumbufu katika kesi iyo. Na ili majaji wapewe shauri ilo Inabidi Morrison kwa pesa yake agharamie ukaaji na usikilizeaji wa dai lake jipya.
Kwenye kesi kama hizi, kuna kitu kinaitwa TUZO! Hii ni kama zawadi kwa mshindi na hapa Morrison atapata hiyo TUZO na unaweza kuiona hata kwenye website ya CAS!
 
YANGA VS BERNARD MORRISON: UELEWA WANGU WA UAMUZI WA CAS

Jumatatu tarehe 22 Novemba, 2021.

Tarehe 12 Agosti, 2020 Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya TFF ilitoa uamuzi wa shauri la Yanga dhidi ya Morrison na kuamuru kuwa Mkataba wa Pili wa Yanga na Morrison haukuwa halali na hivyo Morrison kutakiwa kuirejeshea Yanga USD 30,000 ilizokuwa imempa. Hivyo:

(1) Yanga ilipinga maamuzi ya kuthibitishwa Bernard Morrison kwenda Simba na tayari ilikuwa imempa USD 30,000/=

(2) Pili kutokana na hilo Yanga ilmtaka ailipe USD 200,000/= klabu hiyo kama gharama za kuvunja Mkataba.

CAS wamekubaliana na maamuzi ya Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji hivyo Morison anatakwia arejeshe USD 30,000/= (Takribani Tshs 75,000,000/=) alizopokea kutoka Yanga.

Hakuna gharama nyingine za ziada ambazo Yanga au Morrison anatakiwa amlipe mwenzake kwa sababu gharama za kesi zilibebwa naYanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Morison alipokea ujumbe katika simu yake kuwa akaunt yake imewekwa dola 30000, alijua kabisa zinatoka wapi ila akawaambia benk husika anaogopa kuonekana ni muhujum uchumi kuna pesa imeingia kwenye account yake ila hajui imetoka wapi hivyo wairudishe[emoji3] halafu sio alipiga simu tu, hapana aliandika barua kabisa na nakala akabak nayo[emoji3] hivyo Yanga hela yao hiyo Dola elf 30 wanayo wala BM hajaichukua
 
Mbaka sasa unachokiona kwa Benard Morrison ndio uwezo wake halisi, usitegemee jipya zaidi ya kuwadanganya Marefa ili apewe penalty. Bahati mbaya kwake baadhi ya Marefa wamesha tambua aina ya mbinu chafu anazotumia.
Mabeki naoe wakiingia kichwa kichwa refa hana cha kuwasaidia zaidi ya penati kupigwa. Yeye Morrison huwa anatengeneza mazingira na mazingira hayo husaidiwa na Kasi yake anapokaribia penati area.

Usimlaumu Morrison, hiyo Ni mbinu ya mpira. Mabeki wadili nae mapema nje ya box.

Mkuu umezijua mbinu za mpira leo.

Unadhani faulu za Thadeo Lwanga Ni za bahati mbaya.
 
Kama Kuna gharama za Morrison kulipwa hukumu Ingeelekeza, labda Kama Morrison atafungua shauri jipya la kudai gharama za usumbufu katika kesi iyo. Na ili majaji wapewe shauri ilo Inabidi Morrison kwa pesa yake agharamie ukaaji na usikilizeaji wa dai lake jipya.
No kesi iliyokwenda CAS ilipelekwa na Yanga siyo Morrison.

Madai ya Morrison kuhusu gharama za kesi, hiyo Ni kesi mpya, kesi ya madai. Na Ni hiari ya Morrison kufungua kesi au kupotezea.

Na hiyo kesi itaanzia Tff, km Yanga hawataridhika tena watafungua rufaa CAS.
 
Kama Kuna gharama za Morrison kulipwa hukumu Ingeelekeza, labda Kama Morrison atafungua shauri jipya la kudai gharama za usumbufu katika kesi iyo. Na ili majaji wapewe shauri ilo Inabidi Morrison kwa pesa yake agharamie ukaaji na usikilizeaji wa dai lake jipya.
No kesi iliyokwenda CAS ilipelekwa na Yanga siyo Morrison.

Madai ya Morrison kuhusu gharama za kesi, hiyo Ni kesi mpya, kesi ya madai. Na Ni hiari ya Morrison kufungua kesi au kupotezea.

Na hiyo kesi itaanzia Tff, km Yanga hawataridhika tena watafungua rufaa CAS.
 
Mbona yanga inasema imeisha mlipa morison, ilicho mlipa ni nini sasa?
 
No kesi iliyokwenda CAS ilipelekwa na Yanga siyo Morrison.

Madai ya Morrison kuhusu gharama za kesi, hiyo Ni kesi mpya, kesi ya madai. Na Ni hiari ya Morrison kufungua kesi au kupotezea.

Na hiyo kesi itaanzia Tff, km Yanga hawataridhika tena watafungua rufaa CAS.
Bro hapa unaelezea jinsi ilivyo kwenye hii issue au unaelezea kile unachokielewa wewe?
 
Yanga walishalipa gharama za kesi wakiamini watashinda!!... kuhusu kupoteza muda wa mchezaji nadhani wanamlipa pia!!!
Halafu kwa wale wenye "ugeni" kwenye soka la Tanzania hasa hasa kwenye hivi vilabu vikubwa ni kuwa kuna watu wanaishi - na wapo hapa Jijini na hata kwenye Majiji na Miji mingine mikubwa hapa nchini - kwa "siasa za ujanja ujanja" ndani ya hivi vilabu "vikubwa". Hivyo hata kwa hii kesi ya Morrison vs Yanga, sina shaka lolote, kuna watu wametengeneza pesa zao nzuri from this issue; hii ni kutokana na ukweli kuwa hawa "wadhamini" wako tayari kutoa pesa zozote ili mradi klabu yake ipate ushindi dhidi ya klabu nyingine! Hawa wafadhili mara nyingi huwasikiliza viongozi kwenye vilabu vyao kwani wana waamini sana hao viongozi, ingawa viongozi hao HAWAAMINIKI! Wako pale kwa ajili ya matumbo yao tu.
 
Back
Top Bottom