Anaandika Askofu Emmaus Mwamakula: Dkt. Slaa anateseka gerezani kutokana na ukatili uliopakwa manukato mazuri!

Anaandika Askofu Emmaus Mwamakula: Dkt. Slaa anateseka gerezani kutokana na ukatili uliopakwa manukato mazuri!

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Huwezi kusema wewe ni mtetezi wa haki, mwanademokrasia, mwanaharakati na muumini wa utawala bora lakini ukaona kuwa suala la Dkt. Wilbroad Slaa kukamatwa usiku wa manane na kunyimwa dhamana halikuhusu. Dkt. Slaa anateseka gerezani kutokana na ukatili uliopakwa manukato mazuri!

IMG_20250111_083521.jpg
 
Huwezi kusema wewe ni mtetezi wa haki, mwanademokrasia, mwanaharakati na muumini wa utawala bora lakini ukaona kuwa suala la Dkt. Wilbroad Slaa kukamatwa usiku wa manane na kunyimwa dhamana halikuhusu. Dkt. Slaa anateseka gerezani kutokana na ukatili uliopakwa manukato mazuri!

View attachment 3198339
Ameyataka mwenyewe!
Kukosa wajukuu na vitukuu wa kuwalea huko nyumbani kwake,kunamfanya mdomo unawasha!

Kuna kula dalili atalamba mvua ya mawe
 
Huwezi kusema wewe ni mtetezi wa haki, mwanademokrasia, mwanaharakati na muumini wa utawala bora lakini ukaona kuwa suala la Dkt. Wilbroad Slaa kukamatwa usiku wa manane na kunyimwa dhamana halikuhusu. Dkt. Slaa anateseka gerezani kutokana na ukatili uliopakwa manukato mazuri!

View attachment 3198339
Kapiga kwenye mshono
 
Huwezi kusema wewe ni mtetezi wa haki, mwanademokrasia, mwanaharakati na muumini wa utawala bora lakini ukaona kuwa suala la Dkt. Wilbroad Slaa kukamatwa usiku wa manane na kunyimwa dhamana halikuhusu. Dkt. Slaa anateseka gerezani kutokana na ukatili uliopakwa manukato mazuri!

View attachment 3198339
kwani alivyokua anadokoa sadaka za waamini alipokua kasisi, ule haukua ukatili?

na Je,
alivyo iakana familia yake na watoto, na akaanza kumendea na kupora wake za watu, ule haukua ukatili, tamaa na dhuluma, eti baba Askofu?

na je,
kuisaliti CCM, na kisha kuisaliti chadema, na baadae kuisaliti tena CCM hiyo sio laana kweli baba Askofu?

na mbona hekima na busara imetoweka kabisa ndani ya babu huyu?

au haki ni kuwazushia wengine uongo na kuwanenea wengine mabaya na maovu? Eti baba Askofu,🐒
 
kwani alivyokua anadokoa sadaka za waamini alipokua kasisi, ule haukua ukatili?

na Je,
alivyo iakana familia yake na watoto, na akaanza kumendea na kupora wake za watu, ule haukua ukatili, tamaa na dhuluma, eti baba Askofu?

na je,
kuisaliti CCM, na kisha kuisaliti chadema, na baadae kuisaliti tena CCM hiyo sio laana kweli baba Askofu?

na mbona hekima na busara imetoweka kabisa ndani ya babu huyu?

au haki ni kuwazushia wengine uongo na kuwanenea wengine mabaya na maovu? Eti baba Askofu,🐒
Akajibu mashataka yake mahakamani
 
Ameyataka mwenyewe!
Kukosa wajukuu na vitukuu wa kuwalea huko nyumbani kwake,kunamfanya mdomo unawasha!

Kuna kula dalili atalamba mvua ya mawe
Hii hamchafui Dr Slaa kwa sababu atatoka, au hata kama akifungwa kitakachochafuka ni serikali na kama Dr Slaa alikuwa na Lengo la kuichafua Serikali atakuwa ametimiza lengo lake kwa asilimia mia moja,vingine serikali inatakiwa kuviacha vikapita tu,
 
Huwezi kusema wewe ni mtetezi wa haki, mwanademokrasia, mwanaharakati na muumini wa utawala bora lakini ukaona kuwa suala la Dkt. Wilbroad Slaa kukamatwa usiku wa manane na kunyimwa dhamana halikuhusu. Dkt. Slaa anateseka gerezani kutokana na ukatili uliopakwa manukato mazuri!

View attachment 3198339

Maza anatumia nguvu nyingi sana kupata kipindi cha pili.
 
Huwezi kusema wewe ni mtetezi wa haki, mwanademokrasia, mwanaharakati na muumini wa utawala bora lakini ukaona kuwa suala la Dkt. Wilbroad Slaa kukamatwa usiku wa manane na kunyimwa dhamana halikuhusu. Dkt. Slaa anateseka gerezani kutokana na ukatili uliopakwa manukato mazuri!

View attachment 3198339


Atajifunza kuongea mambo ambayo ana uhakika nayo

Umri wake Kwa sasa alitakiwa atulie Tu na wajukuu zake na sio mambo ya kwenda kulala segerea
 
Hii hamchafui Dr Slaa kwa sababu atatoka, au hata kama akifungwa kitakachochafuka ni serikali na kama Dr Slaa alikuwa na Lengo la kuichafua Serikali atakuwa ametimiza lengo lake kwa asilimia mia moja,vingine serikali inatakiwa kuviacha vikapita tu,
serikali haiwezi kuchafuliwa na mdokozi wa sadaka za waamini aliefukuzwa kazi na kanisa,
.Likini pia haiwezi kuchafuliwa na mtu mwenye tamaa na mporaji wake za watu,
.wala haiwezi kuchafuliwa na mtu mwenye laana ya usaliti na ubinafsi ambayo ndio inamtesa sana sasa hivi katika hali ya uzee wake 🐒
 
Watanganyika tuko makini sana. Na kila kinachofanyika tunakiona. Hayo wanayofanya ccm hayatakuwa hivyo siku zote. Kuna siku mambo yatabadilika, amini nakuambia hayatakuwa hivi tena. Ni kama vile upepo ugeukavyo ulikuwa unavuma huku anageukia upande wa pili na kupepea. Pole sana dkt slaa! Mungu atakusaidia utatoka salama.
 
Jeshi la polisi lijifunze kwenye Nchi zingine, Sasa wanakamata mtu wakiwa hawajui wanamshtaki kwa angle ipi(kwa mujibu wa RPC Dar), wangekamilisha ushahidi then aitwe mahakamani,Sasa wanambeba kama jambazi.
Wengi ni victims wa jeshi hili.
 
Jeshi la polisi lijifunze kwenye Nchi zingine, Sasa wanakamata mtu wakiwa hawajui wanamshtaki kwa angle ipi(kwa mujibu wa RPC Dar), wangekamilisha ushahidi then aitwe mahakamani,Sasa wanambeba kama jambazi.
Wengi ni victims wa jeshi hili.
Muache akaozee gerezani
 
Back
Top Bottom