Anaandika Mbunge January Makamba

January Makamba ana kasoro ndogo ndogo za kibinadamu, ila ana Hekima na Busara za kutosha sana.
Anafaa kuwa Kiongozi wa Uma kama ataacha kujisikia.
Kama atajishusha basi atafutiwe nafasi ya Uongozi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…