Anachanganyikiwa na mapenzi asiyoyaona.

Anachanganyikiwa na mapenzi asiyoyaona.

methodman

Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
14
Reaction score
0
Wana Jamii shaurini,
Ndugu yangu anampenda msicana mmoja ambao wote ni wadogo 1st year chuo.Cha ajabu yule msichana hamtaki lakini jamaa analazimisha hadi amewahi kutaka kujiua....

Cha kushangaza zaidi ni kwamba huyu ndugu ameamua kuweka ugomvi na kila msichana hadi mke wangu eti kisa anawachukia kwa kuwa bado hajampata na atashirikiana nao pale tuu atakapompata dada huyu.

Pia anasema asippompata hataoa kabisa kabisa na ataishi mwenyewe hadi mwisho.
Kingine huyu dada pamoja na udogo wake,anaugua kisukari na presha jambo ambalo naona ni tatizo kbwa sana ktk kuanza familia.

Plz advise.
 
Nadhani huyo jamaa yako kayaanza mapenzi vizuri sana (kupenda usipopendwa)
Akijapewa ukweli na kumsahau huyo binti atakuwa amejifunza jambo jema.
Natamani baada ya kuachana aje kwangu manake atakuwa na nidhamu/heshima sana kwa new gf wake na mambo yote ya mahusiano

kisukari na presha hamzuii huyo dada kuwa na mpenzi.
 
Wana Jamii shaurini,
Ndugu yangu anampenda msicana mmoja ambao wote ni wadogo 1st year chuo.Cha ajabu yule msichana hamtaki lakini jamaa analazimisha hadi amewahi kutaka kujiua....

Cha kushangaza zaidi ni kwamba huyu ndugu ameamua kuweka ugomvi na kila msichana hadi mke wangu eti kisa anawachukia kwa kuwa bado hajampata na atashirikiana nao pale tuu atakapompata dada huyu.

Pia anasema asippompata hataoa kabisa kabisa na ataishi mwenyewe hadi mwisho.
Kingine huyu dada pamoja na udogo wake,anaugua kisukari na presha jambo ambalo naona ni tatizo kbwa sana ktk kuanza familia.

Plz advise.
Hapo kwenye red huyo jamaa anatisha.
 
Nadhani huyo jamaa yako kayaanza mapenzi vizuri sana (kupenda usipopendwa)
Akijapewa ukweli na kumsahau huyo binti atakuwa amejifunza jambo jema.
Natamani baada ya kuachana aje kwangu manake atakuwa na nidhamu/heshima sana kwa new gf wake na mambo yote ya mahusiano

kisukari na presha hamzuii huyo dada kuwa na mpenzi.

aende kwa babu kabla hakujafurika
 
hebu waambie wasome waache hayo mambo watayakuta tu....................
 
ana pepo huyoooooo!! akapepewe!!
 
Wana Jamii shaurini,
Ndugu yangu anampenda msicana mmoja ambao wote ni wadogo 1st year chuo.Cha ajabu yule msichana hamtaki lakini jamaa analazimisha hadi amewahi kutaka kujiua....

Cha kushangaza zaidi ni kwamba huyu ndugu ameamua kuweka ugomvi na kila msichana hadi mke wangu eti kisa anawachukia kwa kuwa bado hajampata na atashirikiana nao pale tuu atakapompata dada huyu.

Pia anasema asippompata hataoa kabisa kabisa na ataishi mwenyewe hadi mwisho.
Kingine huyu dada pamoja na udogo wake,anaugua kisukari na presha jambo ambalo naona ni tatizo kbwa sana ktk kuanza familia.

Plz advise.

Ni utoto tu, akikua ataacha.
 
Huyu jamaa ana matatizo makubwa sana, anahitaji ushauri wa kitaalamu zaidi...
 
kupenda usipendwe ni kama kujitia kitanzi namuonea huruma kweli halafu waeza kuta kuna mwanadada anampenda kweli ye hata hamuoni mapenzi acha tu.
 
Akikua ataacha, mpe muda. Ila hilo tishio lake la kujiua msilipuuze....
Utafiti unaonesha kabla ya mtu kujiua huwa anaonesha dalili mbali mbali za kutaka kutekeleza hicho kitendo.
Anaweza asijiue kwa sababu ya mapenzi lakini akaja kujiua kwa jambo ambalo wala hamkutegemea.
Inabidi mumkalishe chini na kumpa somo kuwa kujiua siyo suluhisho bali ni ubinafsi, kama kweli anawapenda ndugu zake na wote wanaomzunguka basi asifikirie kujua.
 
Yani kupenda mara ya kwanza tu anatishia kujiua!Mshkaji anahitaji matibabu ya kisaikolojia zaidi!Mtafutieni mtaalamu mapema...alafu mwambieni kupenda hakulazimishwi!
 
Mwacheni ajiue ili wengine wajifunze Kuwa mapenzi yanataka utulivu na kujipanga Sio kukurupuka!
 
tia makofi kakileta ujinga na mkawekee sumu chumban kwake tuone
 
wanaotaka kujiua hawatangazi - wanakutwa wameshajinyonga na KUACHA UJUMBE tu au sometimes hamna hata UJUMBE:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
Back
Top Bottom