Pre GE2025 Anachokifanya Tundu Lisu kinahitaji kufanyika miaka mitano mfululizo Watanzania waelewe

Pre GE2025 Anachokifanya Tundu Lisu kinahitaji kufanyika miaka mitano mfululizo Watanzania waelewe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
441
Reaction score
1,065
Tundu Lisu ni mwalimu wa elimu ya uraia na kujitambua japo mwenyewe hajui.

Tundu Lisu anadamu ya kufundisha haki, demokrasia lakini yeye na wanaomzunguka wanamuaminisha kuwa ni mwanaharakati ndio maana mission zake hazifanikiwi kwa asilimia kubwa

Anachokifanya kwa sasa hakiwezi kuleta matunda mapema. Anachofanya ni kupanda mbegu kama ambavyo mwalimu hutoa maarifa pole pole kwa hatua ili hatimaye kufikia malengo yaliyokusudiwa

Kinachomfanya Lisu asifikie malengo ni kutaka matokeo ya haraka kama wanaharakati wengine

Elimu ni "endless process" ambayo matokeo yake huja taratibu.

Elimu ya kukataa tume ya uchaguzi ambayo ilishaanza michakato yake anayoiita "haramu" tangu mwaka jana ni vigumu kutekelezeka kwa kipindi hiki. Hii ilipaswa kufanyika miaka minne iliyopita sio sasa
 
Tundu Lisu ni mwalimu wa elimu ya uraia na kujitambua japo mwenyewe hajui.

Tundu Lisu anadamu ya kufundisha haki, demokrasia lakini yeye na wanaomzunguka wanamuaminisha kuwa ni mwanaharakati ndio maana mission zake hazifanikiwi kwa asilimia kubwa

Anachokifanya kwa sasa hakiwezi kuleta matunda mapema. Anachofanya ni kupanda mbegu kama ambavyo mwalimu hutoa maarifa pole pole kwa hatua ili hatimaye kufikia malengo yaliyokusudiwa

Kinachomfanya Lisu asifikie malengo ni kutaka matokeo ya haraka kama wanaharakati wengine

Elimu ni "endless process" ambayo matokeo yake huja taratibu.

Elimu ya kukataa tume ya uchaguzi ambayo ilishaanza michakato yake anayoiita "haramu" tangu mwaka jana ni vigumu kutekelezeka kwa kipindi hiki. Hii ilipaswa kufanyika miaka minne iliyopita sio sasa
Kwahiyo unasemaje? Tumrudishe Mbowe?
 
Back
Top Bottom