Wala hakuitaji hata ushauri kwako kuamua, kama anaiheshimu ndoa yake asithubutu pili anauhakika gani kama huyo mama mumewe alikufa kwa maradhi gani. Yeye ni mtu mzima asithubutu kujaribu ni hatari sana kwani akishashawishika kwenye swala la mimba litahamia kwenye malezi na kisha atataka waretain mapenzi. Hivi na mkewe akitaka kukumbushia aliyemtoa bikra na habari zikimfikia rafiki yako atajisiaje?
mm nakubaliana na ww mia ya mia asimuharibie mwenzie ndoa khaa!Kama shida ni mtoto tu si wapo wakupandikiza? huyo mama akanunue mbegu.
bora ulivomuambia mana ni atagandwa mpaka atatamani kurudisha siku nyuma zen akatae kufanya ilo tendo ila haitawezekana tenaHiyo tabia ya wanawake kusema nipe mimba siju huwa ni wanawake wote wanapopagwa na mapenzi ndio huwazia hayo au ni baadhi tu,utampa hiyo mimba na kintakachokuja kuzaliwa ni kiumbe kinachoishi na kitakuwa kina mahitaji ya lazima kama kuwa na Baba na Mama,na mengine ambayo yatamfanya aishi,sasa unapokubali hayo ujue atakapozaliwa lazima hivyo vitu avipate na huyo anaesema we nipe mimba halafu uniachie nitatunza mtoto nakuhakikishia hakuna ukweli kwenye hilo bro,moto utakaokuwakia utajuta kwanini ulifanya huo ujinga kwani mkeo ujue ni lazima atakuja ajue kwani hakuna siri kwenye hayo mambo na ndoa yako itakuwa tayari imeingia mahali pabaya sana,nakushauri uachane na hivyo vishawishi vyake vya kijinga na kama anahitaji sex use a Condom.
mm nakubaliana na ww mia ya mia asimuharibie mwenzie ndoa khaa!
tena hata asimpe nafasi ya kumzoea kabisa mana atategwa zen akishindwa kuuvuka huo mtego hasara kwakeaachane naye.....atulie na ndoa yake.....
mzima ww ivuga:smile:Obey your thirsty
Obey your thirsty
iko cha msingi zaidiMhh ushauri anaoomba na atakaopewa ni mmoja tuu
Aheshimu ndoa yake na mke wake na mtoto wake
hakuna kingine cha kumwambia maana kama yalishapita kwa huyo mama wa zamani yashapita na aheshimu ndoa ya mwenzake
Na jamaa ajifikirie mkewe akijua itakuwaje
na huyo mama amejuaje kuwa akilala nae siku ya kwanza tuu atapata mimba anayoyotaka
na ni uhakika gani anaomwambia kuwa nataka tuu mtoto malezi niachie
Je akinogewa na penzi la jamaa na akarudi kuisumbua ndoa yake
Je mtoto akizaliwa na malezi yakamshinda huyo mama na akaja kumsumbua huyu jamaa kwenye ndoa yake itakuwaje
Kuna uhakika gani kuwa malezi yatakuwa kwa mama tuu bila jamaa kushirikishwa
iko cha msingi zaidi
waliooa wanawake wasio na bikira mna shida kweli, poleni sana.
Jamaa yako ksha kumbushia tayari,
mm mzima wa afya kabisaCUTE mzima wewe
Saint Ivuga ameenda kuchota maji hatarudi mpaka jioni kabisa
Mhh ushauri anaoomba na atakaopewa ni mmoja tuu
Aheshimu ndoa yake na mke wake na mtoto wake
hakuna kingine cha kumwambia maana kama yalishapita kwa huyo mama wa zamani yashapita na aheshimu ndoa ya mwenzake
Na jamaa ajifikirie mkewe akijua itakuwaje
na huyo mama amejuaje kuwa akilala nae siku ya kwanza tuu atapata mimba anayoyotaka
na ni uhakika gani anaomwambia kuwa nataka tuu mtoto malezi niachie
Je akinogewa na penzi la jamaa na akarudi kuisumbua ndoa yake
Je mtoto akizaliwa na malezi yakamshinda huyo mama na akaja kumsumbua huyu jamaa kwenye ndoa yake itakuwaje
Kuna uhakika gani kuwa malezi yatakuwa kwa mama tuu bila jamaa kushirikishwa
thebu ampe hiyo mimba haraka sana, kwani rafiki hayo hana mayai?
Mwanamke kumuomba mimba mwanamme ujue yamemfika. Tena akichelewa naenda Dar kumpa mie mwenyewe
Ujue anaweza zaa rais.
Nimegundua hii siku hizi. Issue ikinitokea tu nasema jamaa yangu!!
Nimekusoma dada/kaka Charminggirl..message received!