Anachotaka ni mimba tu!

ucjali SnowBall umesomeka. hebu fuata ushauri wa Mr.Rock...
 

Kweli kabisa
Tusema mambo mengine huwa tunatayataka wenyewe na yanafikia kututesa
Ni maamuzi kuamua kuw asawa tulikuwa marafiki na kila mmoja ana familia yake
heshimu hili la mwenzako analokuambia ana familia yake na hapendi hilo unalotaka kumwambia
Inaonekana hata jamaa mwenyewe hana msimamo na hajajua kama aende au aache na anapokumbuka what happens in those old good days anaona mhhh ngoja nisikilizie ushauri
Ila ushauri wa maana ni kwamba aheshimu ndoa yake
 
Wana JF nawapongeza kwa ushauri mzuri kwa huyu jamaa wa kumwkoa kwenye janga maanake angekuja juta. Na si yeye tu mliyemshauri kwani tupo wengi wenye haya matatizo na ni ushauri mzuri wa kuachana na hayo mambo na kulinda ndoa zetu
 
kwani UUME wa huyo jamaa ni mtamu sana nini? kwanini asitafute mwanaume mwingine? aachane nae tu.
 
Bora lawama kuliko fedheha, anaweza kumpa hiyo mimba leo lakini huko mbeleni yakaja kutokea ya kutokea akajikuta ameiweka rehani ndoa yake, namshauri aendelee kumkwepa tu
 

Asijaribu kabisa inawezekana mwenzie ana nia ya kumwambukiza au kumwaribia ndoa ili wawe wote
 
sasa kuna haja ya kuomba
ushauri hapo kwa situation kama hiyo? Huyo jamaa yako ana tamaa na
anataka ndo maana anajiuliza uliza wkt jibu ni rahisi tu, NO. Amwambie
haiwezekani bse ye ni mume wa mtu tayari.

mimba maana yake ngono bila kinga. hatari zake sote tunazijua!
 
..Jamaa
alifanikiwa kuchomoa kwa
mara ya kwanza lakini huyu
mama kaja hapa Dar na
kampata jamaa na madai yake yamesimama
vilevile!!..Naomba ushauri
hapa 'Je? ampe tu hiyo mimba
au asepe mazima!

Jambo kama hulitaki unalipa nafasi ya nini kwenye akili yako? Yeye kama mwanaume hakupashwa kutafuta ushauri, maamuzi yake binafsi yanatosha!! Mambo mengine yanakua kama "sitaki nataka", huku nikutokujitambua!!
 
Akili zako changanya na za jirani yako kisha chukua hatua......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…