Anadivision four yapoint 29,nimempeleke wapi?

Naona umepata ushirikiano wa kutosha, kwa ajira ya haraka sana kama ni mwanaume mpeleke Dar es salaam Maritine Institute (DMI), ajira ni za kufikia akimaliza.

mkuu plz naomba namba yako ya cm ili unipe maelekezo zaidi ya DMI.
Nitumie kwenye 0787638644
 
hamna tatizo chuo cha civil aviation ada za chuo inategemea na kozi airhostel ni kama laki tisa na nusu kwa mwaka
la kuhusu pilot training na aircraft sifahamu kuhusu hostel ninahisi hamna
 
Hellow.. Plz naomba namba yako ya simu,nitumie kwenye 0787638644. Tuongee.
mkuuu mimi nipo mbali sana na tanzania.......mi nakushauli nenda airport halafu nenda halafu watakupeleeka chuo cha aviation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…