Hello ndugu , Mimi ni mmoja wa asili ya kabila hili but nimekuliaa sehememu tofauti ambapo hawazungumzi hii lugha na hua na tamani sana kujua kuongea lugha yangu ambayo ni asili ya ukoo wangu, hivyoo naomba kwa yoyote anae jua kuzungumza au anaee jua ata kidogo basii naomba msaada ndugu yake namiee nijifunze kupitia kwake,
Nawasilisha kwenu.