Anaefahamu jinsi ya kuomba na aina ya vyuo vya ualimu tz

Anaefahamu jinsi ya kuomba na aina ya vyuo vya ualimu tz

Gelevaheke

Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
77
Reaction score
5
Elimu yangu ni form four nimemaliza 2008 kutokana na ukata sikuweza kujiendeleza na kisomo ila kwa sasa nimeona kuwa kuna upungufu mkubwa sana kwa walimu shule za msingi nimeona nijaribu tena bahati yangu niombe kujiunga na chuo ili elimu nilio ipata ya form four niwape na wa tanzania hawa wadogo naombeni ushauri maana niko serious sana umri wangu miaka 24
 
Chakuongeza tu tangu nilipo hitimu sekondari nimekuwa mwl wakujitolea shule ya msingi kwa miaka 3 sasa kufundisha nafundisha tatizo liko kwenye mshahara 35 elfu kwa mwezi inaniumiza kichwa sana
 
Chakuongeza tu tangu nilipo hitimu sekondari nimekuwa mwl wakujitolea shule ya msingi kwa miaka 3 sasa kufundisha nafundisha tatizo liko kwenye mshahara 35 elfu kwa mwezi inaniumiza kichwa sana

Kama division inaruhusu andika barua kwa wizara ya elimu fungua web. yao utaona address, barua iwe hand written.
 
Back
Top Bottom