Anaefahamu Makosa, aliyekuwa tajiri mkubwa Iringa mwambieni Diamond Platnumz anamtafuta ampe sadaka yake

Anaefahamu Makosa, aliyekuwa tajiri mkubwa Iringa mwambieni Diamond Platnumz anamtafuta ampe sadaka yake

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
IMG_20241023_204555.jpg

Makosa tajiri mkubwa Iringa miaka hiyo akafirisika vibaya na kuwa mnywa visungura na mtogwa analewa 24 seven. Simulizi yake ukifika Iringa utaipata vizuri zaidi maana hakosekani maeneo ya starehe.

Diamond Platnumz ameona simulizi yake mtandaon, imemgusa na ameamua kumshika mkono.

Hivyo Diamond ameomba yoyote mwenye contact za Makosa amfikishie salamu ili atoe sadaka yake.

Ili ni funzo kwetu tunatakiwa kupunguziana maumivu, binadamu sisi hatuna ujanja kabisa kwenye maisha yetu hivyo ukiona mtu kakwama badala ya kumfanyia judgement angalia namna ya kumpiga tafu.

Kidonda hata kama ni kikubwa na kinauma akipatikana hata mtu wa kukipuliza upate dakika chache za unafuu ni jambo jema sana.

Asante sana Diamond kwa kutukumbusha ubinadamu mimi hapa jf nimekuwa balozi mzuri sana wa upendo na ubinadamu.
 
Makosa was bright dude kaenda ulaya kama baharia kabla wengi wenu hamjazaliwa , alirud akajenga dispensary nzuri Sana na ulikua ukiwa hauna pesa unatibiwa anakueleza atalipa yeye, alikua na wafanyakazi wengi Sana anzia hospital na kwenye hais zake , maisha ni hadithi
 
Huyo mzee ndo mimi wanawake, Ulevi na anasa zilinitawala sasaivi najutia wanawake wote wamenikimbia kijana wangu daimondi wewe nitumie tu hyo hela namba yangu ya Halotel nakutumia jina litakuja Mzee wa iringa
😂😂😂😂 hii imeenda
 
Back
Top Bottom