Wanakua hawaja update ile CIF ya sokoni. Unakuta sahivi gari used sokoni wastani ni $6,000 wao wameweka $18,000 Kwahiyo inapelekea kodi zote ziwe juu maana hesabu zao zote zinatoka % ya CIF.Kuna gari kia grand carnival sijui kwa nini hua ushuru wake ni pasua kichwa, tra wabadilike bei ya gari iko chini ila ushuru wa tra ni balaa
then serikali kupitia LG wajenge charging stations na waweke charges flani ili wapate kodiUmenena brother. Yaani wajaribu ata kwa mwaka mmoja 2025 waone muitikio.
Well sio wao ila policy makers, wao hawajali because wana purchasing power, they dont care walio chini yaoIla TRA Mungu anawaona
MKUU,SAMAHANI,MIMI BINAFSI SINA GARI.Najua kwa namna moja au nyingine muhusika atapata huu ujumbe, na sio tu kwa hii chuma na kwa vyuma vingine.
View attachment 3150828
Kwa mfano Nissan Leaf 2019 naona kwenye kikokotoo chenu mme-estimate kwamba CIF yake ni $16,600 kitu ambacho sio kweli, market price sahivi ya hii gari kwa huo mwaka ni CIF ya $8,000 hadi $10,000!
View attachment 3150826
Mfano, BF wana Leaf 2019 jumla 84, ya bei ya juu ndio CIF $16,000 ila ya chini ipo hadi $6,000 kwann ila nyingi zipo $6-8,000!
View attachment 3150827
Hiyo mosi, na pili, hii gari ni full electric, ebu zipeni kipaumbele zipoe kodi angalau mpunguze mazaga kwenye calculator yenu mfano mkapunguza import duty na VAT mkaipa 10% kama majirani zetu.
View attachment 3150829
Okay, ila hii gari ndio my first EV nasema nikiwa na akili timamu kabisa nitakua nachajia home Kibaha kuanzia Februari/March 2025 navoenda Posta mzigoni.
Kwanini naipenda:
1. Kwanza ni EV, no pollution + comfort ride.
2. Hii ni 2nd gen ya Leaf ina improvements nyingi kuliko 1st gen.
3. Battery lake sahivi kubwa 40kWh (kwa standard mode) na 60kWh kwa Plus model, inaweza nipa range hadi ya 200 km hadi 350 km.
4. Ina design nzuri, ndani na nje.
5. Ina space ndani inafaa kwa matumizi ya familia.
View attachment 3150830
Asante.
Naomba uni-refer kwenye ule uzi wako ulioelezea kuhusu miundombinu ya kuchajia EVs.Wanakua hawaja update ile CIF ya sokoni. Unakuta sahivi gari used sokoni wastani ni $6,000 wao wameweka $18,000 Kwahiyo inapelekea kodi zote ziwe juu maana hesabu zao zote zinatoka % ya CIF.
Mkuu, unataka gari ya umeme Nissan Leaf 2nd generation (ZAA-ZE1)?MKUU,SAMAHANI,MIMI BINAFSI SINA GARI.
ILA NATAKA KUTAVUTA HII CHUMA,NAOMBA KUJUA GHARAMA ZA ZOTE ZA KUNUNUA HADI KUFIKISHA BONGO NA USHURU WOTE WA TRA NI JUMLA HIZI 23.2M AU ZINAZIDI?
KAMA ZINAZIDI NAOMBA NISAIDIE BEI KAMILI HADI KUMILIKI.
Wakati nautafuta, kumbuka kuchaji kuko kwa aina tatu (au niseme chaja zipo za aina tatu):Naomba uni-refer kwenye ule uzi wako ulioelezea kuhusu miundombinu ya kuchajia EVs.
HAPA,NIMESHINDWA.Mkuu, unataka gari ya umeme Nissan Leaf 2nd generation (ZAA-ZE1)?
Mi nilikua naitaka Feb hii niivute ila nineshindwa. Kwasababu TRA wamekaza kushusha kodi.
Bei ya gari yenyewe kule JP cheap kabisa 5,500 $ ambazo ni kama Mil 14 na ushuru wake Mil 20 kwahiyo jumla kama mik 34 kwenda juu.
Kusema kweli siwezi nunua gari Mil 14 nikampa TRA mil 20. Never.
Kwahiyo hapo kwenye level II, unatakiwa uvute umeme kutokea wapi hadi nyumbani?.Wakati nautafuta, kumbuka kuchaji kuko kwa aina tatu (au niseme chaja zipo za aina tatu):
Level I: Huu ni umeme (AC current) wa nyumbani, yaani unaotumia friji, tv, pasi unachofanya utarefusha tu cable ili ifike nje uchaji gari lako. Unakua na 110-120v sema unachaji slow. Unakuta 7-8 km kwa saa 1.
Level II: Huu pia ni wa nyumbani na commercial buildings au viwandani. Pia ni AC current. Unakua na 220-240v. Huu una speed zaidi ya kuchaji kuliko Level I unaweza ingiza kilometa 20-30 kwa saa moja.
Level III: Huu ni DC current. Ni fast charger. Zipo kwenye commercial buildings au charging stations. Huu unaweza chaji ata 0-80% ndani ya Dakika 10 tu, au 20km kwa dakika.
Hapo itabidi uongee na fundi umeme wako, au TANESCO ili uwe na huo 240V nyumbani kwako. Sijui ndio three phase wanaita. Kwa matumizi ya kawaida, let say kwenda na kurudi kazini chini ya kilometa 100 kwa siku, Level I inatosha.Kwahiyo hapo kwenye level II, unatakiwa uvute umeme kutokea wapi hadi nyumbani?.
single phase 240 VHapo itabidi uongee na fundi umeme wako, au TANESCO ili uwe na huo 240V nyumbani kwako. Sijui ndio three phase wanaita. Kwa matumizi ya kawaida, let say kwenda na kurudi kazini chini ya kilometa 100 kwa siku, Level I inatosha.
Level II kama unataka kujaza full charge let's say 0-100% ndani ya usiku mmoja (7pm hadi 7am), kitu ambacho sio kizuri kumaliza 0% ya battery (iwe ni gari, simu nk) na pia sio kizuri kujaza hadi 100%.
umeme tunaotumia sisis ndio uo chif hatuna 110 ndio maana vifaa vingi au karibia vyote majumbani madukani 240V au 400VShukrani mkuu.
Sasa je, kua na 240v au 120v tofauti ni nini?
TRA ni official beggarsIla TRA Mungu anawaona
inategemea kifaa chako in put yake inahitaji V ngapiShukrani mkuu.
Sasa je, kua na 240v au 120v tofauti ni nini?