As am cmng from arsha i had never heard abt st joseph campus bt there is only a high xul
Waungwana vip kuhusu hicho chuo, kuanzia mazingira ya kujisomea mpaka ubora wa kiwango cha elimu kinachotolewa hapo.
Vipi kwenye soko la ajira endapo nikisoma bachelor of education katka hicho chuo
Je gharama zao za hostel zikoje?
Mwisho naomba kufahamishwa web site yao maana nikifungua web ya st joseph nashindwa kuelewa nifanyeje ili nipate detail za campus yao ya ARUSHA!!
Kama unazungumzia St. Joseph ngarenaro high school zipo karibu sana lakini st.Joseph university inapatikana kona ya kuelekea ya kiwandani(A to Z)As am cmng from arsha i had never heard abt st joseph campus bt there is only a high xul
Waungwana vip kuhusu hicho chuo, kuanzia mazingira ya kujisomea mpaka ubora wa kiwango cha elimu kinachotolewa hapo.
Vipi kwenye soko la ajira endapo nikisoma bachelor of education katka hicho chuo
Je gharama zao za hostel zikoje?
Mwisho naomba kufahamishwa web site yao maana nikifungua web ya st joseph nashindwa kuelewa nifanyeje ili nipate detail za campus yao ya ARUSHA!!