Anaejua chuo cha the united africa university of tanzania.

Anaejua chuo cha the united africa university of tanzania.

Bro Mesh

Member
Joined
Mar 24, 2014
Posts
70
Reaction score
18
Jamani naombeni msaada wanajamvi kwa Program Bsc of Computer engineering and Information Technonlogy tution fee halisi ni shilingi ngapi?Maana kwenye TCU guide book ya 2014/2015 ada ya hyo program ni 900,000=. Wakati kwenye list of approved fees for Tanzania universites inayopatikana site ya TCU ada imeandikwa 2900,000/= .wakati huohuo document nlio ipata kupitia site ya chuo inaonyesha tution fee ni 900,000 wakati huohuo tena kwenye address hiyo The UAUT inaonyesha tution fee ni 2900,000/=.

Anaefahamu tutin fee halisi naomba anijulishe wanajamvi.Au kinachoendela hapo ktk hicho chuo anisaidie.Jamani

Nawasilisha wakumbwa
 

Attachments

jamani naombeni msaada wanajamvi kwa program bsc of computer engineering and information technonlogy tution fee halisi ni shilingi ngapi?maana kwenye tcu guide book ya 2014/2015 ada ya hyo program ni 900,000=. Wakati kwenye list of approved fees for tanzania universites inayopatikana site ya tcu ada imeandikwa 2900,000/= .wakati huohuo document nlio ipata kupitia site ya chuo inaonyesha tution fee ni 900,000 wakati huohuo tena kwenye address hiyo the uaut inaonyesha tution fee ni 2900,000/=.

Anaefahamu tutin fee halisi naomba anijulishe wanajamvi.au kinachoendela hapo ktk hicho chuo anisaidie.jamani

nawasilisha wakumbwa
ni sh milion 2.9 mkuu .mi nilikuwa kwenye maonesho mwakajana .nikapita wakanipa na vizawadi nilikimbia sikurudi tena.haiwezekani ada ya hicho chuo ikawa ndogo kuliko vyuo vya serikali..
 
Back
Top Bottom