Anaejua: HARRIER or SURF HILUX

Anaejua: HARRIER or SURF HILUX

Admin1988

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
1,603
Reaction score
1,848
Wakuu kwema?
Naomba anaye jua aniambie ipi bora ninunue?
Je bora SHOWROOM au niagize
Natanguliza
 
Wakuu kwema?
Naomba anaye jua aniambie ipi bora ninunue?
Je bora SHOWROOM au niagize
Natanguliza
Gari zote ni bora kutegemea na mazingira na kipato chako kwa ajili ya matengenezo na mafuta.

Kama hutajali, tutembelee Kimomwe Motors waagizaji wa magari tuliopo Magomeni Mapipa tutakusikiliza na kukushauri juu ya jambo lako.

Au piga namba 0746267740.
 
Nipeni bei.

KWA VIPI SERVICES ZINA TOFAUTIANA
Gari zote ni bora kutegemea na mazingira na kipato chako kwa ajili ya matengenezo na mafuta.

Kama hutajali, tutembelee Kimomwe Motors waagizaji wa magari tuliopo Magomeni Mapipa tutakusikiliza na kukushauri juu ya jambo lako.

Au piga namba 0746267740.
 
Back
Top Bottom