Mnunuzi ni wewe kweli? Mbona unaandika kama mtu asiyekuwa na hela?Wakuu kwema?
Naomba anaye jua aniambie ipi bora ninunue?
Je bora SHOWROOM au niagize
Natanguliza
Kwan mtu mwenye hela ana andikaje?Mnunuzi ni wewe kweli? Mbona unaandika kama mtu asiyekuwa na hela?
Gari zote ni bora kutegemea na mazingira na kipato chako kwa ajili ya matengenezo na mafuta.Wakuu kwema?
Naomba anaye jua aniambie ipi bora ninunue?
Je bora SHOWROOM au niagize
Natanguliza
Gari zote ni bora kutegemea na mazingira na kipato chako kwa ajili ya matengenezo na mafuta.
Kama hutajali, tutembelee Kimomwe Motors waagizaji wa magari tuliopo Magomeni Mapipa tutakusikiliza na kukushauri juu ya jambo lako.
Au piga namba 0746267740.