MOONFISH
Senior Member
- Jul 30, 2022
- 135
- 268
Habari wajuba hope mko poa sana.
Kuna thread nilileta huku japo wachangiaji walikuwa ni wachache ila nilifanikiwa kumfungulia dogo salon ni ndogo na ya kawaida sasa swali langu nilikuwa ni kujua kama kuna huitaji wa leseni maana saloon nimefungulia nje ya mji na gharama zake zilienda kama laki saba.
Ningependa mtu mwenye utaalamu na haya mambo nijue maana nisije nikavamiwa siku na TRA ikawa tena kisanga kwangu.
Natanguliza shukrani kwa wote watakao nipa ushauri na mapovu ruksa. hallaa!!!!
Kuna thread nilileta huku japo wachangiaji walikuwa ni wachache ila nilifanikiwa kumfungulia dogo salon ni ndogo na ya kawaida sasa swali langu nilikuwa ni kujua kama kuna huitaji wa leseni maana saloon nimefungulia nje ya mji na gharama zake zilienda kama laki saba.
Ningependa mtu mwenye utaalamu na haya mambo nijue maana nisije nikavamiwa siku na TRA ikawa tena kisanga kwangu.
Natanguliza shukrani kwa wote watakao nipa ushauri na mapovu ruksa. hallaa!!!!