Anaejua mishahara ya wachezaji TPL, tusaidiane kujua 10 bora

Anaejua mishahara ya wachezaji TPL, tusaidiane kujua 10 bora

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
Tushazoea kutaja mishahara ya wa wachezaji wa majuu, wabongo magumashi kujua, very undisclosed.

Tusaidiane watoto wa mjini.
 
Hizi team ndo nyingi mishahara laki 5. Nna mwanangu anakipiga mbeya kwanza, kipindi wanapanda daraja walikua wanalipwa posho tu siku ya mechi na kula msosi kambini basi.

Mpira kwa bongo bado sio ajira ya kueleweka. Yani vijana wanaondesha maisha kwa mikeka wanaeza kuwa wengi kuliko wanaoendesha maisha kwa mpira.
 
Hizi team ndo nyingi mishahara laki 5. Nna mwanangu anakipiga mbeya kwanza, kipindi wanapanda daraja walikua wanalipwa posho tu siku ya mechi na kula msosi kambini basi.

Mpira kwa bongo bado sio ajira ya kueleweka. Yani vijana wanaondesha maisha kwa mikeka wanaeza kuwa wengi kuliko wanaoendesha maisha kwa mpira.
Duh hatari
 
Hizi team ndo nyingi mishahara laki 5. Nna mwanangu anakipiga mbeya kwanza, kipindi wanapanda daraja walikua wanalipwa posho tu siku ya mechi na kula msosi kambini basi.

Mpira kwa bongo bado sio ajira ya kueleweka. Yani vijana wanaondesha maisha kwa mikeka wanaeza kuwa wengi kuliko wanaoendesha maisha kwa mpira.
Inasikitisha sana
 
Labda mwenye ufahamu zaidi atatufahamisha kama mchezaji wa mpira wa miguu Tanzania kwenye ligi kuu, sheria inamtambua kwamba ni mwajiriwa na anatakiwa apate haki zote za uajiri kwa mujibu wa sheria
 
Back
Top Bottom