M Maharo JF-Expert Member Joined Aug 22, 2016 Posts 3,312 Reaction score 2,303 Dec 1, 2024 #1 Wanajamvi salaams Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kujua ubora na udhaifu wa TV za Hisense ninawaza nikanunue. Nawakaribisha pia kwa ushauri wa TV bora Natanguliza shukrani
Wanajamvi salaams Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kujua ubora na udhaifu wa TV za Hisense ninawaza nikanunue. Nawakaribisha pia kwa ushauri wa TV bora Natanguliza shukrani
Yesu Anakuja JF-Expert Member Joined Apr 10, 2019 Posts 12,675 Reaction score 25,924 Dec 1, 2024 #2 najua ubora tu, its even better than sumsung. kati ya makampuni ya kichina nimeyanyooshea mkono na Hisense na Boss.
najua ubora tu, its even better than sumsung. kati ya makampuni ya kichina nimeyanyooshea mkono na Hisense na Boss.
Orketeemi JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 5,063 Reaction score 12,866 Dec 1, 2024 #3 Hisense Kwa sie tusio na mapesa mengi ni chaguo mwafaka. Tafuta Hisense smart TV ,
Seawhale JF-Expert Member Joined Sep 25, 2016 Posts 1,477 Reaction score 1,668 Dec 2, 2024 #4 Chukua ile model yenye OS ya google/android i e U7N.
B bnhai JF-Expert Member Joined Jul 12, 2009 Posts 2,832 Reaction score 2,390 Dec 2, 2024 #6 Maharo said: Wanajamvi salaams Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kujua ubora na udhaifu wa TV za Hisense ninawaza nikanunue. Nawakaribisha pia kwa ushauri wa TV bora Natanguliza shukrani Click to expand... Mkuu Kachukue
Maharo said: Wanajamvi salaams Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kujua ubora na udhaifu wa TV za Hisense ninawaza nikanunue. Nawakaribisha pia kwa ushauri wa TV bora Natanguliza shukrani Click to expand... Mkuu Kachukue