Anaejua ubora na udhaifu wa TV za Hisense anijuze

Maharo

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
3,312
Reaction score
2,303
Wanajamvi salaams

Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kujua ubora na udhaifu wa TV za Hisense ninawaza nikanunue.

Nawakaribisha pia kwa ushauri wa TV bora

Natanguliza shukrani
 
Chukua ile model yenye OS ya google/android i e U7N.
 
Wanajamvi salaams

Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kujua ubora na udhaifu wa TV za Hisense ninawaza nikanunue.

Nawakaribisha pia kwa ushauri wa TV bora

Natanguliza shukrani
Mkuu
Kachukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…