M mseza Member Joined Mar 14, 2016 Posts 92 Reaction score 39 Apr 30, 2017 #1 Habari zenu wapendwa, Mimi ni kijana mwenzenu nina ndoto za kuthubutu kuanzisha kampuni yangu ya masuala ya research and consultancy. Hivyo anaejua utaratibu anisaidie ikiwezekana na gharama inaweza kuwa shilingi ngapi. Ahsante
Habari zenu wapendwa, Mimi ni kijana mwenzenu nina ndoto za kuthubutu kuanzisha kampuni yangu ya masuala ya research and consultancy. Hivyo anaejua utaratibu anisaidie ikiwezekana na gharama inaweza kuwa shilingi ngapi. Ahsante
prospilla JF-Expert Member Joined Mar 31, 2015 Posts 1,144 Reaction score 1,709 Apr 30, 2017 #2 Ingia jukwaa la uchumi na biashara, kuna mada ambayo ni sticky kabisa imeelezea kila kitu kuhusu kufungua kampuni, ina ushauri pia wa nini cha kufanya
Ingia jukwaa la uchumi na biashara, kuna mada ambayo ni sticky kabisa imeelezea kila kitu kuhusu kufungua kampuni, ina ushauri pia wa nini cha kufanya
M mseza Member Joined Mar 14, 2016 Posts 92 Reaction score 39 Apr 30, 2017 Thread starter #3 prospilla said: Ingia jukwaa la uchumi na biashara, kuna mada ambayo ni sticky kabisa imeelezea kila kitu kuhusu kufungua kampuni, ina ushauri pia wa nini cha kufanya Click to expand... asante mpendwa
prospilla said: Ingia jukwaa la uchumi na biashara, kuna mada ambayo ni sticky kabisa imeelezea kila kitu kuhusu kufungua kampuni, ina ushauri pia wa nini cha kufanya Click to expand... asante mpendwa
prospilla JF-Expert Member Joined Mar 31, 2015 Posts 1,144 Reaction score 1,709 Apr 30, 2017 #4 mseza said: asante mpendwa Click to expand... Sawa mkuu kila la kheri katika safari yako ya mafanikio.
mseza said: asante mpendwa Click to expand... Sawa mkuu kila la kheri katika safari yako ya mafanikio.
IPILIMO JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,819 Reaction score 801 Apr 30, 2017 #5 Unaweza pia piga no yangu 0682069669