Anaenda masomoni mwaka mzima, anunue turubai gani kupunguza gari kupigwa jua na vumbi, vitu gani vya ziada azingatie?

Anaenda masomoni mwaka mzima, anunue turubai gani kupunguza gari kupigwa jua na vumbi, vitu gani vya ziada azingatie?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hbari wana jf,

kuna dogo anaenda masomoni kwa mwaka 1 hivi, mwezi wa tatu alifanikiwa kuagiza gari yake toyota carina ti, ni mpya na kiukweli kaitunza, ataiacha kwake ila sehemu hio iko wazi na jua huwa linapiga je, ni turubai zipi nzuri za kuzuia hii hali?

kaniomba aniachie funguo kwajili ya emergency endapo ikitokea hatari maana sisi ni majirani, sasa nimeona gari yake itapigwa jua sana maana aliomba niwe naliendesha lakini mimi nishazoea kutumia gari yangu huwa sina mazoea kutumia za wengine, ni turubai lipi atumie?
 
Sio turubai, ni cover za magari. Usijeweka tu turubai yale hayazuii joto. Yako hivi kama unavoona, kwa ndani ni soft sana

8f49a25a236bffc7a3ea782a3b12a6d2.jpg


Yanauzwa Tsh 150k ukipigwa sana 170 Mlimani City (Game).

Ila mwaka mmoja mkubwa sana. Nashauri pamoja na kufunika, angalau kila baada ya week 2-3 au mwezi mmoja max. vitu hivi vifanyike:

1. Mtu awashe gari. (Itasaidia vimiminika vizunguke na battery)

2. Mtu aendeshe ata kwa nusu saa (tairi zisikae pale pale zitaoza na itapunguza kutu)

3. Kuliosha vizuri.

Trust me gari iliowekwa inachakaa zaidi ya inayotumika.
 
Sio turubai, ni cover za magari. Usijeweka tu turubai yale hayazuii joto. Yako hivi kama unavoona, kwa ndani ni soft sana

View attachment 2346779

Yanauzwa Tsh 150k ukipigwa sana 170 Mlimani City (Game).

Ila mwaka mmoja mkubwa sana. Nashauri pamoja na kufunika, angalau kila baada ya week 2-3 au mwezi mmoja max. vitu hivi vifanyike:

1. Mtu awashe gari. (Itasaidia vimiminika vizunguke na battery)

2. Mtu aendeshe ata kwa nusu saa (tairi zisikae pale pale zitaoza na itapunguza kutu)

3. Kuliosha vizuri.

Trust me gari iliowekwa inachakaa zaidi ya inayotumika.

Afuate ushauri huu.

Kwa kuongezea baada ya 12 months apige chini Oils zote aweke mpya, kama muhusika atakuwa bado hajarudi.
 
1-Kuna addictives anapaswa kuweka kwenye tank la mafuta lisipate rust.
2-Angeweza kuwa na car shed au garage kwa long term storage ingekuwa best option, haya ma-cover yalishawahi niharibia rangi ya gari kutokana na outside temperature changes, ingawa kwa matumizi ya muda mfupi yanafaa.
3-Kama halitatumika kabisa, wengine hunyanyua gari na kuhakikisha tyres hazigusi ground.
 
Aiuzeee kwani huyo amekuwa Binadamu hadi asubiriwe .. Aiweke sokoni hela yake aiweke fixed deposit kwa mwaka mmoja then akirudi anakuta imezaa interest na ananunua gari nyingine
 
Hbari wana jf...

kuna dogo anaenda masomoni kwa mwaka 1 hivi, mwezi wa tatu alifanikiwa kuagiza gari yake toyota carina ti, ni mpya na kiukweli kaitunza, ataiacha kwake ila sehemu hio iko wazi na jua huwa linapiga,,,, je ni turubai zipi nzuri za kuzuia hii hali ??

kaniomba aniachie funguo kwajili ya emergency endapo ikitokea hatari maana sisi ni majirani, sasa nimeona gari yake itapigwa jua sana maana aliomba niwe naliendesha lakini mimi nishazoea kutumia gari yangu huwa sina mazoea kutumia za wengine, ni turubai lipi atumie
Mwambie auze asije kuwapa watu lawama.
 
Sio turubai, ni cover za magari. Usijeweka tu turubai yale hayazuii joto. Yako hivi kama unavoona, kwa ndani ni soft sana

View attachment 2346779

Yanauzwa Tsh 150k ukipigwa sana 170 Mlimani City (Game).

Ila mwaka mmoja mkubwa sana. Nashauri pamoja na kufunika, angalau kila baada ya week 2-3 au mwezi mmoja max. vitu hivi vifanyike:

1. Mtu awashe gari. (Itasaidia vimiminika vizunguke na battery)

2. Mtu aendeshe ata kwa nusu saa (tairi zisikae pale pale zitaoza na itapunguza kutu)

3. Kuliosha vizuri.

Trust me gari iliowekwa inachakaa zaidi ya inayotumika.
Aombe hapo Panya wasije wakaingia wanafanya Yao,anaweza akafurahi na roho yake.
 
Back
Top Bottom