Anaetaka kubebwa UDSM

Mi nauza room kwa atakaehitaji aniPM iko hall ni kwa wasichana tu!
 
Nahitaji kubebwa wakuu sina hata sehemu ya kukaa naomba msichana aliye na room mabibo ikiwezekana aniuzie.. Wasifu wangu ni cool girl na mstaarabu kiasi chake mwenye huruma na mie ani pm please..
 
Sina hata pa kufkia nikitoka likizo tulikua tunakaa dar lkn tumeshahama ndugu zangu wanakaa maili moja yani sina hata amani please mwenye rum wasichana wenzangu mnisaidie am sirious wakuu
 
Nahitaji kubebwa wakuu sina hata sehemu ya kukaa naomba msichana aliye na room mabibo ikiwezekana aniuzie.. Wasifu wangu ni cool girl na mstaarabu kiasi chake mwenye huruma na mie ani pm please..

Nauza rum mabibo ili nipange near duce
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…