Anaetaka kujua na kupata info zaidi kuhusu chuo&course aliyochaguliwa


Atakaekuuliza atakua nae ni kilaza sana, kwa huo uandishi xi, xana ,xuku, xixi... poleni sana vijana wa siku hizi kwa ulimbukeni usio na faida..
 
Atakaekuuliza atakua nae ni kilaza sana, kwa huo uandishi xi, xana ,xuku, xixi... poleni sana vijana wa siku hizi kwa ulimbukeni usio na faida..

nimekudaka xaut yako mkuu..[updated-boy]
 
Pole kijana!! Vijana wengi munapotoka ndo maana hamuaminiki kabisa ck hiz ukienda nursery kidogo bas eti unajua kila ki2.pole kwa kuhangaika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…