Anaewaelewa wanawake anisaidie

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
67,252
Reaction score
168,563
Jamani naongea haya kwa masikitiko na huzuni kubwa sana hapa. Sina pozi kabisa mwenzenu natafakari bila kupata majibu juu ya sisi wanawake
Kuna sehemu unaeza kuta wanaume wawili watatu wamekaa wao kwa wao wakiongea yao yakiume sijui ya mademu sijui michepuko sijui yule anaringa mara hana lolote nanyinginezo.
Vivohivo kwa wanawake . Wanapokaa wanawake wawili watatu unategemea wataongea story gani kwa mfano???

Hivi unapoambiwa kitu juu ya mtu/ watu fulani ukikaa nacho unawashwa??? Huyooo patupatupatu unapokipeleka moja kwa moja kwa muhusika / ndugu au jamaa yake wa karibu sana unatarajia nini?!!
Hapa kwetu nusura pageuke Uwanja wa kungfu Leo mimi nilijihami nikajifungia zangu ndani tu baada ya kuona hali ya hewa imeharibika make hata kupigana siwezi.
Najuuuuuuuuuuuta kwakweli. Kuanzia sasa nikiwa sina ishu nibora nije kukesha jf kwenye siasa tu sitakosa la kuongea juu ya Bashite stori ya mujini. kuliko kukaa na Ndumila kuwili.
Nimekoma yani kiranga komooo hapa.
 
sisi wanawake n wanafki sana hatupendani unaona kwenda kuongea kitu cha mwenzio kama kumkomoa
Mfano unapoenda kumwambia mtu kitu kinachomuhusu mumewe unatarajia reaction gani jamani?? Dahhhhhhhhhhh
 
nyie MUNGU aliwajua mapema ndo maana alituhasa tuishi na nyie kwa akili sana.
 
anataka aone unaachika halaf inakua tofaut

Mm ilishanitokea hiyo mahondaw rafiki mnatoka mnashare vitu vingi kilichonitokea nilijifunza tena hawa marafiki wa kukutana ukubwani ndio hawafai kabisa
Shogaa sibora hata angetaka niachike mahondaw miyeeee. Shoga kapeleka habari za mume mtu kwa mkewe kabeba kama zilivyoo hata hajachuja walau. nzima nzima kapeleka
Mi jion hii sina hili wala lile huyoo naona nafatwa...
 
Shogaa sibora hata angetaka niachike mahondaw miyeeee. Shoga kapeleka habari za mume mtu kwa mkewe kabeba kama zilivyoo hata hajachuja walau. nzima nzima kapeleka
Mi jion hii sina hili wala lile huyoo naona nafatwa...
Loooh pole
 
Shogaa sibora hata angetaka niachike mahondaw miyeeee. Shoga kapeleka habari za mume mtu kwa mkewe.
Mi jion hii sina hili wala lile huyoo naona nafatwa...
aisee pole sana
 
One mistake one goal.
Haya yote ni matokeo ya mistake alofanya Eva kwenye lile bustani la Eden.
 
Usimlaumu yeye jilaumu wewe ulieshindwa kukaa kimya, hahah, kitu kikishakuwa siri, unatakiwa ujue peke yako, kama na wewe uliambiwa hiyo si siri tena. Kwa hiyo ukiona unamwambia rafikiyo siri ujue umeshindwa kuitunza unamtafuta wa kukusaidia kuitunza, na yeye kashindwa kuitunza kaipeleka ikatunzwe na wahusika.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
pole mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…