Anaewaelewa wanawake anisaidie

Ha haa hakunaga cr ya wawili
Aiseee!! N ya mmoja tuuu
 
kama kakuchongea kwa

baby wako , wewe komaa na baba umweke saawa ataelewa maana mbinu mnazo nyingi sana.
Hapana yani sijui hata nianzeje unielewe!
Nahivi kuna baba hapa tunafanya nae kazi moja. Siku ya jumamosi tulikua hukoo kazini.
Huyo baba anataka mazoea yaliyopitiliza namimi kiutu uzima hapa utakua ushanielewa.
Sasa mimi nikamshirikisha bidada hapa namuuliza hivi baba K ana shida gani lakini ??
Si ana mke yule mkewe si tunashinda nae kabisa hapa sasa anapoleta hizo habari anatarajia nini?? Nikamweleza tu kikawaida mwanamke mwenzangu huyu baba nahivi navile ananiambia hivi vile
Eti usiku nitoke nje iwe hivi iwe vile!
Heeeeeeeeeeeeeeeeeh kayapeleka kama yalivo kwa mke wahuyo baba jamani! Mke wawatu kashinda analia tu Leo. Mumewe kumuuliza akaanza kumwambia mama fulani kaniambia hivi navile. nataka kuondoka kwetu ubaki nahuyo mahondaw Tobaaaaaaaaaaa. Jioni mume kanifata hivi weeweee...... Uwiii
 
Pole.
 
Aiseeee!!! Yan hata mashoga,zako hawana hata huruma wanaamua kukuchafulia cv yako

Pole my kapet wang
Asante ndugu
Bora hata wangechafua hio cv
Ni hapahapa tunapoishi. kuzungukana tu.
Unajua kuna vitu vingine unatakiwa kujiongeza
Sawa wanawake tuna maneno, wanawake tunaongea ila unaangalia mazingira / wahusika
 
duuuh kumbe ndo iko ivi, inaelekea kufanana na ya kwangu maana nilimtongoza stafu meti akanitishia kumwambia mke wangu ikabidi niwe mpole. ila jikaze mkuu ndo ukubwa
 
Natamani ningeupata mkasa mzima ili nijue nakusaidia vipi ila ni njia nzuri ya kujifunza hiyo najua hutorudia tena kosa piga moyo konde maisha ysnaendelea mlikutana kimjini mtaachana hivyohivyo usiuzunike sana
 
duuuh kumbe ndo iko ivi, inaelekea kufanana na ya kwangu maana nilimtongoza stafu meti akanitishia kumwambia mke wangu ikabidi niwe mpole. ila jikaze mkuu ndo ukubwa
Sasa mimi kiroho Safi tulikua tunapiga story za hapa na pale nikamshirikisha mwanamke mwenzangu. Asiende kumwambia mkewe!! ' mkewe asikonclude kuwa mahondaw anatembea na baba k na kulia tu kutaka nauli aende kwao eti abaki nahuyo mahondaw yaniiiiii dah!
 
Natamani ningeupata mkasa mzima ili nijue nakusaidia vipi ila ni njia nzuri ya kujifunza hiyo najua hutorudia tena kosa piga moyo konde maisha ysnaendelea mlikutana kimjini mtaachana hivyohivyo usiuzunike sana
Kuna post nimeeleza chanzo pitia pitia vizuri
 
Tupo wanawake watatu hapa saivi Kila mmoja haongei na mwenzie. buyu buyu tu hakuna hata habari za nisogezee kijiko sijui kimyaaaaaa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2]
Aiseeee!! Hayo maisha n hatar
Ila wanawake mnayaweza


Kuna nchi ndo wana hayo
Maisha yan unaweza kuamka
Asubuh ukapishana na landlord


,neyba wako au hata yule wa opposite
Na ww lakin mtapishana kama
Umepisha na mti ukisalimia wala hata
Hana habar na,salam yako

Nouma sana hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…