anagawa virusi vya ukimwi kwa makusudi

anagawa virusi vya ukimwi kwa makusudi

mbogyo

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
231
Reaction score
100
tupo wtoto wanne katka familia yetu but mmojawetu ambaye ni dada yetu mziwanda ameambukzwa virus toka kwa mama ambaye sasa ni marehm. kwakwel toka nimchukue baada ya mm kumaliza chuo na kupata kazi nakuja kuishi naye hapa kwngu ameanza kuonesha tabia sinzuri yakudeal na vijana wa hapa mtaani nimegundua hili baada yakufanya upelelezi wakina. Nashindwa kufanya maamuzi yaharaka kwakuwa bado ninahasira sana moyon na yeye bdo hajagundua km mm nafaham anayoyafanya pia naona nikimsema atahs labda ninamnyanyapaa wakat mwngine nataman nimfukuze hapa kwangu. mim km kaka mkubwa wa familia nilipanga nimsomeshe chuo cha ufundi kwakuwa shule alipata four mbaya na almalza mwaka jana tu lakin ananivunja moyo kwakweli so naombeni ushauri wenu wadau maana naona km nimechanganykiwa sychologically kwan nadevelop tabia yakuwa nahasira hasira kila nikikumbuka hili
 
tupo wtoto wanne katka familia yetu but mmojawetu ambaye ni dada yetu mziwanda ameambukzwa virus toka kwa mama ambaye sasa ni marehm. kwakwel toka nimchukue baada ya mm kumaliza chuo na kupata kazi nakuja kuishi naye hapa kwngu ameanza kuonesha tabia sinzuri yakudeal na vijana wa hapa mtaani nimegundua hili baada yakufanya upelelezi wakina. Nashindwa kufanya maamuzi yaharaka kwakuwa bado ninahasira sana moyon na yeye bdo hajagundua km mm nafaham anayoyafanya pia naona nikimsema atahs labda ninamnyanyapaa wakat mwngine nataman nimfukuze hapa kwangu. mim km kaka mkubwa wa familia nilipanga nimsomeshe chuo cha ufundi kwakuwa shule alipata four mbaya na almalza mwaka jana tu lakin ananivunja moyo kwakweli so naombeni ushauri wenu wadau maana naona km nimechanganykiwa sychologically kwan nadevelop tabia yakuwa nahasira hasira kila nikikumbuka hili
  • Pole ndugu kwa changamoto hii inayokukabili.
  • Tafadhali fika kituo cha afya, mfano Angaza kilichokaribu nawe, fanya mazungumzo na mtoa ushauri nasaha ili aelewe tatizo la ndugu yako, then mpange siku ambapo wewe na ndugu mtafika hapo kituo cha afya,ambapo ataweza kupewa ushauri nasaha utakao mfanya aweze kujitambua na kuacha kusambaza virusi kwa makusudi.
  • Endelea kujizuia na usionyesha hali ya ukali na hasira kwake, ili aweze kukupa ushirikiano na kufanikiwa kumpatia huo ushauri nasaha.
 
nashukuru kwa ushauri kuhusu angaza nimempeleka kituo cha afya ndipo anapochukulia dawa huko labda cjui nikaongee na yule dr anayemuhudumia labda atanisaidia kumkanya aisee nashukuru kwakunikumbusha hili
 
Aisee ni hatari...Kijana ukijifanya kijogoo tu huchukui round/
 
duh, pole sana kama wewe ni mkristo fuata viongozi wako wa dini waongeee nane na maongezi yao yataanzia mbali sana, wanaijua saikolojia vizuri sana, ndio njia sahihi ya kukushauri kwa sasa. Cheki na Mchungaji wako atajua jinsi ya kui-handle hio issue na haitakuumiza kichwa tena, pole sana ndugu yangu I can feel it
 
pole sana kuna binti mmoja na yeye yupo hivyo.ana miaka kama 20 na alizaliwa nao,mama yake ni marehemu.anagawa kama pipi,waume za watu twende,vijana wa age zake twende.familia ilikaa chini ikamsema wee,mwenyewe anasema hao wanaume wanamfata mwenyewe.ki ukweli inasikitisha,huyo binti anafanya hivyo kama hasira na anaona bora asife peke yake maana yeye alizaliwa nao.maana amekuwa amekuwa mtu wa hasira hasira tu,ndani akipika chakula anaboronga boronga makusudi.familia inazidi kumpa nasaha ili abadilike
 
tupo wtoto wanne katka familia yetu but mmojawetu ambaye ni dada yetu mziwanda ameambukzwa virus toka kwa mama ambaye sasa ni marehm. kwakwel toka nimchukue baada ya mm kumaliza chuo na kupata kazi nakuja kuishi naye hapa kwngu ameanza kuonesha tabia sinzuri yakudeal na vijana wa hapa mtaani nimegundua hili baada yakufanya upelelezi wakina. Nashindwa kufanya maamuzi yaharaka kwakuwa bado ninahasira sana moyon na yeye bdo hajagundua km mm nafaham anayoyafanya pia naona nikimsema atahs labda ninamnyanyapaa wakat mwngine nataman nimfukuze hapa kwangu. mim km kaka mkubwa wa familia nilipanga nimsomeshe chuo cha ufundi kwakuwa shule alipata four mbaya na almalza mwaka jana tu lakin ananivunja moyo kwakweli so naombeni ushauri wenu wadau maana naona km nimechanganykiwa sychologically kwan nadevelop tabia yakuwa nahasira hasira kila nikikumbuka hili

Mpeleke kwenye vyombo vya ushauri nasaha.
 
duh huo ni mtihani kwa kweli jaribu kuongea nae kwa upole anaweza kukuelewa
 
kama ikishindikana wekeni matangazo mtaani kwamba naniii ni noma nani anapenda kuangamiza kizazi kwaajili ya mtu mmoja!
 
iinasikitisha sana ila mm sioni sababu ya wewe kuwa na hasira nae zaidi ya kumuonea huruma na kuwa karibu nae inaonekana na wewe mwenyewe ni chanzo cha tatizo irresponsible kweli mdogo wako wa kutoka kwa mama yako unapiga mahesabu ya kumpeleka chuo cha ufundi! veta. to me nahisi kama umemchoka uyo mdogo wako na inaonekana ata mkeo sidhani kama ana mahusiano nae ya karibu.kwakweli kama ningekua mimi ndoyo kaka yake ningehakikisha namlea vizuri kama yai na ikiwezekana nitakua radhi kugombana ata na mke wangu kwa ajili ya hali alliyokua nayo.ninachoona apo matatizo yote hqyo yanasababishwa na kutokua na upendo kati yako wewe na mkeo kwa mdogo wako.si vinginevyo
 
tupo wtoto wanne katka familia yetu but mmojawetu ambaye ni dada yetu mziwanda ameambukzwa virus toka kwa mama ambaye sasa ni marehm. kwakwel toka nimchukue baada ya mm kumaliza chuo na kupata kazi nakuja kuishi naye hapa kwngu ameanza kuonesha tabia sinzuri yakudeal na vijana wa hapa mtaani nimegundua hili baada yakufanya upelelezi wakina. Nashindwa kufanya maamuzi yaharaka kwakuwa bado ninahasira sana moyon na yeye bdo hajagundua km mm nafaham anayoyafanya pia naona nikimsema atahs labda ninamnyanyapaa wakat mwngine nataman nimfukuze hapa kwangu. mim km kaka mkubwa wa familia nilipanga
nimsomeshe chuo cha ufundi kwakuwa shule alipata four mbaya
na almalza mwaka jana tu lakin ananivunja moyo kwakweli so naombeni ushauri wenu wadau maana naona km nimechanganykiwa sychologically kwan nadevelop tabia yakuwa nahasira hasira kila nikikumbuka hili

nani alikwambia ufundi wanaenda kusoma failures ?
 
Ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana alikuwa akiadhin allah akbar akiwa ana maanisha mungu mkubwa,alikuwa ana shati la kitenge lenye mabaka ya kenge,jinzi kali karl kani pili ana kibito tinted mziki mzito,kusalimika ni ngumu kama hamtoacha zinaa kumantain ni kazi kama hamna stamina.
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
 
hapana mm ninampenda sana dada yangu na lengo langu nikumfanya yeye ajisikie huru na najitahd kumpatia kila anachohitaj kadri ya uwezo wangu na hii imepelekea hata yeye kuongezeka uzito nakuzidi kunawili kiasi cha kutokumgundua haraka km yeye ni muathrika. kuhusu veta mi naona ni solution yaharaka kwa ajili ya future yake sina namna coz kurisit hataki nakwasasa namfndsha computer nataka nimpe ujuzi km msingi ili aweze kusimama kwa miguu yake mwnyewe nadhan mmenielewa wadau
 
Back
Top Bottom