Anaharufu kama bata nitamsaidiaje?

umekwisha MP Ecoli

Blaki Woman Ecoli bwananime MP amenipa maneno mazito naona kama anampango wa kumkamata jamaa yangu amchanganye na mabata na mimi sijajitayarisha kumwona rafiki yangu akitendewa hayo.
 
Muulize babu Aspirini harufu ina maana gani? Ila ya huyo kama bata du sidhani kama kuna deodorant za bata...nenda kwa zoologists huenda wanazo
 
huyo atakuwa ni shemejiiiii, bora umuache uchukue mwingine au co
 
jaman nimecheka kama tahahra,u made my day
 
Vunja ukimya mkuu kwa kumwambia ukweli. Inatakiwa unamuita pembeni unamuambia kero aliyonayo. Inapendeza kuona unamsaidia rafiki yako bila kumdhalilisha kwa watu wengi.
 
eti bahati mbaya walikuwa
group discussion moja.duh hahaha mi najua watu wanaonuka kama mbuzi lakini bata,huyo ni noma.mtu kama huyo utakuta anafaulu balaa.
 
eti bahati mbaya walikuwa
group discussion moja.duh hahaha mi najua watu wanaonuka kama mbuzi lakini bata,huyo ni noma.mtu kama huyo utakuta anafaulu balaa.

mkuu kama likuwepo ilikuwa ni kichwa ila hako ka fleva kake ka wanyama
 
Mkuu situpe ukwelitu tukusaidie huyo jamaa ulikuwa nae shule sasahivi hupo nae utamshauri vip? sema kama ni wewe au mama chanja upate msaada
 
Hili tatizo wanalo watu wengi, huwa hawajijui, kwa vile harufu hiyo wanayo miaka nenda rudi, hudhani ni kitu cha kawaida, yaani utamkuta mkaka/mdada yuko smart sana, na kapaka marashi ya bei sana ila nanuka kikwapa, kwa faida ya wote hakuna perfume yoyote inayoweza ua harufu ya kwapa, cha muhimu ni mtu kujua kutumia deodorant first, then marashi kwa juu hapo hutasikia kwapa la mtu
 
Shantel usemayo ni kweli nimewahi kuona mneguaji wa hizi bendi zenu mzipendazo anakikwapa huyo do mpaka nzi hawamsogelei nilishangaa sana huyo mdada ankwenda nchi zanje nakutembea sehem nyingi lakini ana halihii lakini sikushindwa kumueleza kwakuwa nafaham dawa nilimwambia kiurahisi tu nilimuliza dada unatatizo hili muda mrefu au ndo limeanza hakunifaham akauliza tatzo gani nikamwambia inaelekea hujajua kuna tatizo linataka kutokea bora uwahi mapema kabla halijawa kubwa nikamwambia dada yangu alikuwa nalo na akatumia ndimu na malimao kila unapooga unajisugua na ndimu makwapani hii ndio dawa pekee nyingine hakuna faida najua najua wengi watasema lakini bibi zetu walikuwa kila mwezi anajisafisha na ndim maramoja ndio. kwaushari wangu hizo dodoranti zinaongeza uchafu makwapani ukiwa mtumiaji wahivyo vitu nilazima utumie kilasiku kwa ushari bora ujisugue na ndim kila wiki maramoja na kuachana na mchanganyiko wa madawa ya biashara nakuwa necha hutakuwa na matatizo ya kuwa na harufu kwapani mimi na ndugu zangu wote hakuna anaetumia dodoranti hata mkewangu hatumii na tupo ok
 
Hahahahaha wewe unachukia kuna wengine wanaipnda harufu hiyo
 
Mkuu situpe ukwelitu tukusaidie huyo jamaa ulikuwa nae shule sasahivi hupo nae utamshauri vip? sema kama ni wewe au mama chanja upate msaada

Mkuu mi naitwa charger sio chanja,kwani classmate huwa ana expiring date?
 

Kwahiyo ndimu imewasaidia na mama ntiginya? unaweza kukwepa ubatabata ukawa kachumbari ndimu kwapani kweli??ha ha haaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…