Anahisi kuwekewa dawa za harufu mbaya kisiri nini afanye?

Anahisi kuwekewa dawa za harufu mbaya kisiri nini afanye?

arabianfalcon

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
2,285
Reaction score
584
Kuna jambo nimeona mtu anasumbuliwa na mazingira ya kiintelijensia anafuatwa kila aendako na kumwagiwa madawa kwa siri. Anasema anaonja kabisa na kuhisi kumwagiwa bila yeye kuwaona.

Kila nguvu ya dawa ikipungua wanaongeza tena. Hata walio naye wanasikia harufu ya madawa hayo. Inamfanya apate inferiority complex kimaisha.

JamiiForums pamekamilika, hapakosekani wajuzi wa mengi, je ni ushauri gani na njia gani tunaweza kumsaidia mwenzetu aondokane na hali hiyo maana nilipoona na kushuhudia kibinadamu nimeona hurumu na ni udhalilishaji uliopinduka na sasa inaendelea bila kikomo.
 
Ngoja waje wajuzi mkuu watakujuza ila ingekua vema ukaweka bayana ayo madawa anayohisi kuwekewa ni ya sangoma ama ya kumuondoa taratibu
 
Kuna jambo nimeona mtu anasumbuliwa na mazingira ya kiintelijensia anafuatwa kila aendako na kumwagiwa madawa kwa siri. Anasema anaonja kabisa na kuhisi kumwagiwa bila yeye kuwaona.

Kila nguvu ya dawa ikipungua wanaongeza tena. Hata walio naye wanasikia harufu ya madawa hayo. Inamfanya apate inferiority complex kimaisha.

JamiiForums pamekamilika, hapakosekani wajuzi wa mengi, je ni ushauri gani na njia gani tunaweza kumsaidia mwenzetu aondokane na hali hiyo maana nilipoona na kushuhudia kibinadamu nimeona hurumu na ni udhalilishaji uliopinduka na sasa inaendelea bila kikomo.

Inferiority complex!!!!!!!!!!!!
 
Si aache hako kamchezo kanakochukiza hao wanaomtiming.
 

Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
 
Sijaelewa no mazingara au sayansi ya kawaida.! Anyways nyumba za ibada ni bure ila asiwe mwepesi kumwaga mapesa.
 
mbona rahisi sana,kama ni muumini awasiliane na viongozi wa dini wampe ushauri wa kiroho,kama hawezi aangalie namna ingine
 
mwambie asikubali aende kushtaki polisi haraka mno
 
Huyo mtu nguvu za giza zinamsumbua, aende kwenye maombezi. Ni hisia tu hizo za kishetani.
 
Anahisi? Na hao watu nikinanani? Iyo harufu Ya dawa ni dawa Za aina gani? Miti shamba au za hospital? Asijitie wasiwasi ..
 
Back
Top Bottom