Wema Ally
Member
- May 29, 2015
- 19
- 9
Habar zenu,
Nina rafkiangu anasumbuliwa sana na tatzo lakutokwa na vipele aina ya uvimbe ukeni, juu ya mashavu ya uke.
Nitatizo ambalo linamsumbua takriban mwaka sasa kila dawa za hospital katumia sindano kachoma sana bila mafanikio.
Huo uvimbe ukiota wala hauumi ila unaiva kama jipu ukiiva ndo unauma ukitumbuka usaha wake unatoa harufu.
Sasa jamani naomba msaada wenu maana anapata tabu na ilo tatzo.
Nina rafkiangu anasumbuliwa sana na tatzo lakutokwa na vipele aina ya uvimbe ukeni, juu ya mashavu ya uke.
Nitatizo ambalo linamsumbua takriban mwaka sasa kila dawa za hospital katumia sindano kachoma sana bila mafanikio.
Huo uvimbe ukiota wala hauumi ila unaiva kama jipu ukiiva ndo unauma ukitumbuka usaha wake unatoa harufu.
Sasa jamani naomba msaada wenu maana anapata tabu na ilo tatzo.