Anahitaji msaada wa kisaikolojia

Anahitaji msaada wa kisaikolojia

kante mp2025

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
631
Reaction score
1,192
Wakuu naombeni mnipe mawazo ya kiushauri niweze kumshauri huyu ndugu yangu, Nahisi hayupo sawa kisaikolojia.

Ni mtoto wa mjomba wangu alimaliza diploma ya clinical officer mwaka 2020 akiwa na G.P.A ya 3.1, Kwa wakati wote tokea amalize hakuwahi bahatika kupata ajira ya kudumu zaidi ya kazi za vijiwe ambapo walikuwa wakimlipa kati ya laki mbili hadi laki mbili na nusu.

Sasa tokea amalize alikuwa ana lengo la kujiendeleza kielimu ila kwa jinsi ushindani ulivo mara zote alizoomba maombi hakuwahi pata chuo ili asome M.D

Sasa juzi kwenye kikao cha ukoo kijana amekuja na idea iliyotuchanganya ndugu hata tukahisi labda ameanza kuvuta bangi mbichi.

Anasema aliapply diploma kwenye kozi ya mionzi chuo kimoja cha dini na anataka akasome hivi karibuni , Wana ndugu tumemshangaa sana yaani anataka awe na diploma mbili tofauti.Kiukweli sisi kama ndugu tumemkatalia hilo suala maana tunaona anapoteza muda, Yeye anadai hiyo kozi ndio habari ya mjini kuliko hii diploma yake ya C.O

Kama ndugu tumemshauri sana hatusikilizi anang'ang'ania lakini tunahisi hayupo sawa kisaikolojia,Nahitaji msaada wa ushauri wenu au kama kuna mtu ni mwanasaikolojia naombeni mniunganishe nae aweze kumshauri huyu dogo.
 
Wakuu naombeni mnipe mawazo ya kiushauri niweze kumshauri huyu ndugu yangu, Nahisi hayupo sawa kisaikolojia.

Ni mtoto wa mjomba wangu alimaliza diploma ya clinical officer mwaka 2020 akiwa na G.P.A ya 3.1, Kwa wakati wote tokea amalize hakuwahi bahatika kupata ajira ya kudumu zaidi ya kazi za vijiwe ambapo walikuwa wakimlipa kati ya laki mbili hadi laki mbili na nusu.

Sasa tokea amalize alikuwa ana lengo la kujiendeleza kielimu ila kwa jinsi ushindani ulivo mara zote alizoomba maombi hakuwahi pata chuo ili asome M.D

Sasa juzi kwenye kikao cha ukoo kijana amekuja na idea iliyotuchanganya ndugu hata tukahisi labda ameanza kuvuta bangi mbichi.

Anasema aliapply diploma kwenye kozi ya mionzi chuo kimoja cha dini na anataka akasome hivi karibuni , Wana ndugu tumemshangaa sana yaani anataka awe na diploma mbili tofauti.Kiukweli sisi kama ndugu tumemkatalia hilo suala maana tunaona anapoteza muda, Yeye anadai hiyo kozi ndio habari ya mjini kuliko hii diploma yake ya C.O

Kama ndugu tumemshauri sana hatusikilizi anang'ang'ania lakini tunahisi hayupo sawa kisaikolojia,Nahitaji msaada wa ushauri wenu au kama kuna mtu ni mwanasaikolojia naombeni mniunganishe nae aweze kumshauri huyu dogo.
Yupo sawa mbona, nyie ndo hamumueleewi
 
Wakuu naombeni mnipe mawazo ya kiushauri niweze kumshauri huyu ndugu yangu, Nahisi hayupo sawa kisaikolojia.

Ni mtoto wa mjomba wangu alimaliza diploma ya clinical officer mwaka 2020 akiwa na G.P.A ya 3.1, Kwa wakati wote tokea amalize hakuwahi bahatika kupata ajira ya kudumu zaidi ya kazi za vijiwe ambapo walikuwa wakimlipa kati ya laki mbili hadi laki mbili na nusu.

Sasa tokea amalize alikuwa ana lengo la kujiendeleza kielimu ila kwa jinsi ushindani ulivo mara zote alizoomba maombi hakuwahi pata chuo ili asome M.D

Sasa juzi kwenye kikao cha ukoo kijana amekuja na idea iliyotuchanganya ndugu hata tukahisi labda ameanza kuvuta bangi mbichi.

Anasema aliapply diploma kwenye kozi ya mionzi chuo kimoja cha dini na anataka akasome hivi karibuni , Wana ndugu tumemshangaa sana yaani anataka awe na diploma mbili tofauti.Kiukweli sisi kama ndugu tumemkatalia hilo suala maana tunaona anapoteza muda, Yeye anadai hiyo kozi ndio habari ya mjini kuliko hii diploma yake ya C.O

Kama ndugu tumemshauri sana hatusikilizi anang'ang'ania lakini tunahisi hayupo sawa kisaikolojia,Nahitaji msaada wa ushauri wenu au kama kuna mtu ni mwanasaikolojia naombeni mniunganishe nae aweze kumshauri huyu dogo.
DR HAYA LAND karibu utoe ushauri
 
Wakuu naombeni mnipe mawazo ya kiushauri niweze kumshauri huyu ndugu yangu, Nahisi hayupo sawa kisaikolojia.

Ni mtoto wa mjomba wangu alimaliza diploma ya clinical officer mwaka 2020 akiwa na G.P.A ya 3.1, Kwa wakati wote tokea amalize hakuwahi bahatika kupata ajira ya kudumu zaidi ya kazi za vijiwe ambapo walikuwa wakimlipa kati ya laki mbili hadi laki mbili na nusu.

Sasa tokea amalize alikuwa ana lengo la kujiendeleza kielimu ila kwa jinsi ushindani ulivo mara zote alizoomba maombi hakuwahi pata chuo ili asome M.D

Sasa juzi kwenye kikao cha ukoo kijana amekuja na idea iliyotuchanganya ndugu hata tukahisi labda ameanza kuvuta bangi mbichi.

Anasema aliapply diploma kwenye kozi ya mionzi chuo kimoja cha dini na anataka akasome hivi karibuni , Wana ndugu tumemshangaa sana yaani anataka awe na diploma mbili tofauti.Kiukweli sisi kama ndugu tumemkatalia hilo suala maana tunaona anapoteza muda, Yeye anadai hiyo kozi ndio habari ya mjini kuliko hii diploma yake ya C.O

Kama ndugu tumemshauri sana hatusikilizi anang'ang'ania lakini tunahisi hayupo sawa kisaikolojia,Nahitaji msaada wa ushauri wenu au kama kuna mtu ni mwanasaikolojia naombeni mniunganishe nae aweze kumshauri huyu dogo.
Pole sana!

Kwa sasa kozi za clinical officers (CO) na medical doctor (MD) vina changamoto sana ktk kupata ajira. Kwa hiyo anaweza pengine akapata chuo cha kusoma MD lakini akaja tena kukaa mtaani kwa kutegemea vijiwe. Hii ni kwa sababu wasomi wa hizo kozi wamejaa sana mtaani.

Kwa sasa kozi zenye ajira kwa haraka (kwa sababu ya uchache wa hao wataalamu mtaani) ni radiology, dentist, physiotherapy... Nafikiri hata serikali imeanza kutoa mikopo kwa wanfunzi wanaosoma hizo kozi kuanzia wale wa diploma.

Kwa hiyo ndugu yenu yupo sahihi kabisa kutafuta hiyo kozi ya radiology badala ya MD kwani kwa sasa kuna uhaba sana wa wataalamu hao. Hivyo kama mtamsaidia itakuwa vyema.
 
Pole sana!

Kwa sasa kozi za clinical officers (CO) na medical doctor (MD) vina changamoto sana ktk kupata ajira. Kwa hiyo anaweza pengine akapata chuo cha kusoma MD lakini akaja tena kukaa mtaani kwa kutegemea vijiwe. Hii ni kwa sababu wasomi wa hizo kozi wamejaa sana mtaani.

Kwa sasa kozi zenye ajira kwa haraka (kwa sababu ya uchache wa hao wataalamu mtaani) ni radiology, dentist, physiotherapy... Nafikiri hata serikali imeanza kutoa mikopo kwa wanfunzi wanaosoma hizo kozi kuanzia wale wa diploma.

Kwa hiyo ndugu yenu yupo sahihi kabisa kutafuta hiyo kozi ya radiology badala ya MD kwani kwa sasa kuna uhaba sana wa wataalamu hao. Hivyo kama mtamsaidia itakuwa vyema.
Asante sana daktari kwa ushauri wako nimekuelewa vema nitajaribu kuwaeleza ndugu na kuwaonesha huu ushauri wako🙏

Kumbe dogo yupo sahihi,Atusamehe bure kwa kutokujua mambo🙏
 
Wakuu naombeni mnipe mawazo ya kiushauri niweze kumshauri huyu ndugu yangu, Nahisi hayupo sawa kisaikolojia.

Ni mtoto wa mjomba wangu alimaliza diploma ya clinical officer mwaka 2020 akiwa na G.P.A ya 3.1, Kwa wakati wote tokea amalize hakuwahi bahatika kupata ajira ya kudumu zaidi ya kazi za vijiwe ambapo walikuwa wakimlipa kati ya laki mbili hadi laki mbili na nusu.

Sasa tokea amalize alikuwa ana lengo la kujiendeleza kielimu ila kwa jinsi ushindani ulivo mara zote alizoomba maombi hakuwahi pata chuo ili asome M.D

Sasa juzi kwenye kikao cha ukoo kijana amekuja na idea iliyotuchanganya ndugu hata tukahisi labda ameanza kuvuta bangi mbichi.

Anasema aliapply diploma kwenye kozi ya mionzi chuo kimoja cha dini na anataka akasome hivi karibuni , Wana ndugu tumemshangaa sana yaani anataka awe na diploma mbili tofauti.Kiukweli sisi kama ndugu tumemkatalia hilo suala maana tunaona anapoteza muda, Yeye anadai hiyo kozi ndio habari ya mjini kuliko hii diploma yake ya C.O

Kama ndugu tumemshauri sana hatusikilizi anang'ang'ania lakini tunahisi hayupo sawa kisaikolojia,Nahitaji msaada wa ushauri wenu au kama kuna mtu ni mwanasaikolojia naombeni mniunganishe nae aweze kumshauri huyu dogo.


Tatizo sio Kuwa na diploma mbili au moja hilo sio tatizo kabisa.


Hapo mnachobidi kuangalia Kama familia ni future ya huyo kijana na sio kumiliki diploma mbili au degree .


Kwa kuanza tuangalie yeye anapenda nini ?

Jibu linakuja kuwa anapenda ajira na ili apate ajira yeye anaona anabidi asome kitu kingine tofauti na alichonacho mwanzo.

Hii sio mbaya kwake Ila imekuwa mbaya kutokana na familia ilivyotafsiri.

Nini chakufanya kwa kijana na familia

Chunguzeni kwa kina mtazame soko la ajira kuhusu kile anachopenda kusomea kijana Kama kweli kinasoko na kinalipa .

Baada ya hapo angalieni swala la uchumi je pesa ya kumsomesha ipo

Na je huyo anayekwenda kusoma yupo willing.!


Issue sio diploma mbili au moja Ila maisha yanahitaji silaha mbali mbali ili kufikia lengo na mafanikio .

Mwisho
Mwambie asisome tu ilimradi kwa kufata mkumbo aangalie na umri kama amefika 30 yrs awe makini asije akaua Focus (shabaha).

Kuhusu kuchanganikiwa au bangi Mimi sioni hicho kitu

Mfanye philosophy tu vizuri
 
Asante sana daktari kwa ushauri wako nimekuelewa vema nitajaribu kuwaeleza ndugu na kuwaonesha huu ushauri wako🙏

Kumbe dogo yupo sahihi,Atusamehe bure kwa kutokujua mambo🙏
Karibu ndugu.

Kuhusu kuwa na diploma mbili sio tatizo bali ni faida kwake kwa sababu anaweza tu akatumia vyeti vyote kuomba kazi kulingana na fursa itakayokuja.
 
Tatizo sio Kuwa na diploma mbili au moja hilo sio tatizo kabisa.


Hapo mnachobidi kuangalia Kama familia ni future ya huyo kijana na sio kumiliki diploma mbili au degree .


Kwa kuanza tuangalie yeye anapenda nini ?

Jibu linakuja kuwa anapenda ajira na ili apate ajira yeye anaona anabidi asome kitu kingine tofauti na alichonacho mwanzo.

Hii sio mbaya kwake Ila imekuwa mbaya kutokana na familia ilivyotafsiri.

Nini chakufanya kwa kijana na familia

Chunguzeni kwa kina mtazame soko la ajira kuhusu kile anachopenda kusomea kijana Kama kweli kinasoko na kinalipa .

Baada ya hapo angalieni swala la uchumi je pesa ya kumsomesha ipo

Na je huyo anayekwenda kusoma yupo willing.!


Issue sio diploma mbili au moja Ila maisha yanahitaji silaha mbali mbali ili kufikia lengo na mafanikio .

Mwisho
Mwambie asisome tu ilimradi kwa kufata mkumbo aangalie na umri kama amefika 30 yrs awe makini asije akaua Focus (shabaha).

Kuhusu kuchanganikiwa au bangi Mimi sioni hicho kitu

Mfanye philosophy tu vizuri
Ok tutamuita kwenye kikao kumpa hizi nondo maana ndugu tulishangazwa sana

Siku zote sisi tulikuwa tunaamini ni heri aongeze elimu apate degree sasa suala la yeye kutaka diploma nyingine tena lilituacha midomo wazi

Kwa sasa kijana ana miaka 26 hiyo kozi kasema ni miaka mitatu, uwezo wa kumsomesha upo ila hili suala lilitushtua maana hatukuwahi sikia haya mambo tukahisi kijana ashajiunga makundi mabaya

Nashukuru sana kwa nondo hizi asee,
 
Karibu ndugu.

Kuhusu kuwa na diploma mbili sio tatizo bali ni faida kwake kwa sababu anaweza tu akatumia vyeti vyote kuomba kazi kulingana na fursa itakayokuja.
ASANTE SANA NDUGU YANGU, MUNGU AKUBARIKI KWA USHAURI WAKO
 
Ok tutamuita kwenye kikao kumpa hizi nondo maana ndugu tulishangazwa sana

Siku zote sisi tulikuwa tunaamini ni heri aongeze elimu apate degree sasa suala la yeye kutaka diploma nyingine tena lilituacha midomo wazi

Kwa sasa kijana ana miaka 26 hiyo kozi kasema ni miaka mitatu, uwezo wa kumsomesha upo ila hili suala lilitushtua maana hatukuwahi sikia haya mambo tukahisi kijana ashajiunga makundi mabaya

Nashukuru sana kwa nondo hizi asee,


Kuna uwezekano the guy is ahead of the time (yupo mbele ya muda)

Kitu Ambacho ni kizuri pia.
 
Kozi ya mionzi (Radiology) ajira yake walau ipo ukilinganisha na hiyo clinical officer
 
Wakuu naombeni mnipe mawazo ya kiushauri niweze kumshauri huyu ndugu yangu, Nahisi hayupo sawa kisaikolojia.

Ni mtoto wa mjomba wangu alimaliza diploma ya clinical officer mwaka 2020 akiwa na G.P.A ya 3.1, Kwa wakati wote tokea amalize hakuwahi bahatika kupata ajira ya kudumu zaidi ya kazi za vijiwe ambapo walikuwa wakimlipa kati ya laki mbili hadi laki mbili na nusu.

Sasa tokea amalize alikuwa ana lengo la kujiendeleza kielimu ila kwa jinsi ushindani ulivo mara zote alizoomba maombi hakuwahi pata chuo ili asome M.D

Sasa juzi kwenye kikao cha ukoo kijana amekuja na idea iliyotuchanganya ndugu hata tukahisi labda ameanza kuvuta bangi mbichi.

Anasema aliapply diploma kwenye kozi ya mionzi chuo kimoja cha dini na anataka akasome hivi karibuni , Wana ndugu tumemshangaa sana yaani anataka awe na diploma mbili tofauti.Kiukweli sisi kama ndugu tumemkatalia hilo suala maana tunaona anapoteza muda, Yeye anadai hiyo kozi ndio habari ya mjini kuliko hii diploma yake ya C.O

Kama ndugu tumemshauri sana hatusikilizi anang'ang'ania lakini tunahisi hayupo sawa kisaikolojia,Nahitaji msaada wa ushauri wenu au kama kuna mtu ni mwanasaikolojia naombeni mniunganishe nae aweze kumshauri huyu dogo.
Wabillah Taufiq
 
Back
Top Bottom