kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Wakuu naombeni mnipe mawazo ya kiushauri niweze kumshauri huyu ndugu yangu, Nahisi hayupo sawa kisaikolojia.
Ni mtoto wa mjomba wangu alimaliza diploma ya clinical officer mwaka 2020 akiwa na G.P.A ya 3.1, Kwa wakati wote tokea amalize hakuwahi bahatika kupata ajira ya kudumu zaidi ya kazi za vijiwe ambapo walikuwa wakimlipa kati ya laki mbili hadi laki mbili na nusu.
Sasa tokea amalize alikuwa ana lengo la kujiendeleza kielimu ila kwa jinsi ushindani ulivo mara zote alizoomba maombi hakuwahi pata chuo ili asome M.D
Sasa juzi kwenye kikao cha ukoo kijana amekuja na idea iliyotuchanganya ndugu hata tukahisi labda ameanza kuvuta bangi mbichi.
Anasema aliapply diploma kwenye kozi ya mionzi chuo kimoja cha dini na anataka akasome hivi karibuni , Wana ndugu tumemshangaa sana yaani anataka awe na diploma mbili tofauti.Kiukweli sisi kama ndugu tumemkatalia hilo suala maana tunaona anapoteza muda, Yeye anadai hiyo kozi ndio habari ya mjini kuliko hii diploma yake ya C.O
Kama ndugu tumemshauri sana hatusikilizi anang'ang'ania lakini tunahisi hayupo sawa kisaikolojia,Nahitaji msaada wa ushauri wenu au kama kuna mtu ni mwanasaikolojia naombeni mniunganishe nae aweze kumshauri huyu dogo.
Ni mtoto wa mjomba wangu alimaliza diploma ya clinical officer mwaka 2020 akiwa na G.P.A ya 3.1, Kwa wakati wote tokea amalize hakuwahi bahatika kupata ajira ya kudumu zaidi ya kazi za vijiwe ambapo walikuwa wakimlipa kati ya laki mbili hadi laki mbili na nusu.
Sasa tokea amalize alikuwa ana lengo la kujiendeleza kielimu ila kwa jinsi ushindani ulivo mara zote alizoomba maombi hakuwahi pata chuo ili asome M.D
Sasa juzi kwenye kikao cha ukoo kijana amekuja na idea iliyotuchanganya ndugu hata tukahisi labda ameanza kuvuta bangi mbichi.
Anasema aliapply diploma kwenye kozi ya mionzi chuo kimoja cha dini na anataka akasome hivi karibuni , Wana ndugu tumemshangaa sana yaani anataka awe na diploma mbili tofauti.Kiukweli sisi kama ndugu tumemkatalia hilo suala maana tunaona anapoteza muda, Yeye anadai hiyo kozi ndio habari ya mjini kuliko hii diploma yake ya C.O
Kama ndugu tumemshauri sana hatusikilizi anang'ang'ania lakini tunahisi hayupo sawa kisaikolojia,Nahitaji msaada wa ushauri wenu au kama kuna mtu ni mwanasaikolojia naombeni mniunganishe nae aweze kumshauri huyu dogo.