Anahitajika Landscaper mwenye uhalisia wa bei na ubora wa kazi

Anahitajika Landscaper mwenye uhalisia wa bei na ubora wa kazi

Atlantis Voyager

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
371
Reaction score
502
Kuna kiwanja kimeshajengwa nyumba kipo nusu bondeni nusu mlimani. Ardhi yake haiko sawa anatafutwa fundi mtaalamu wa kulevel ardhi ili paonekane pamependeza na mvua isiharibu baadhi ya kingo za nyumba. Vile vile atakaye design namna mifereji ipite ili kutoa maji ya mvua nje ya kiwanja.
 
Kuna kiwanja kimeshajengwa nyumba kipo nusu bondeni nusu mlimani. Ardhi yake haiko sawa anatafutwa fundi mtaalamu wa kulevel ardhi ili paonekane pamependeza na mvua isiharibu baadhi ya kingo za nyumba. Vile vile atakaye design namna mifereji ipite ili kutoa maji ya mvua nje ya kiwanja.
Mkuu hiyo kazi inawezekana chini ya umoja wa UVIMO.
tuwasiliane ,
0753961896
 
Kuna kiwanja kimeshajengwa nyumba kipo nusu bondeni nusu mlimani. Ardhi yake haiko sawa anatafutwa fundi mtaalamu wa kulevel ardhi ili paonekane pamependeza na mvua isiharibu baadhi ya kingo za nyumba. Vile vile atakaye design namna mifereji ipite ili kutoa maji ya mvua nje ya kiwanja.
[/QUOTE
Vipi boss. Tuwasiliane tufanye kazi, track record yangu inatosha kwa kazi hii. 0767248096
 
Sawa mkuu,
Kumbuka tu, Kuna vitu kadhaa vya kuzingatia ili kupata kadirio lililo karibia au sawa na hitaji.
UVIMO ndo maana tunapenda direct communication kwa uhakika zaidi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom