Kuna jamaa kanipa kazi ya kutafuta mtu aliyesoma uhasibu (Fresh toka shule) ili afanye naye kazi kwa kujitolea ili apate uzoefu. Katika kujitolea atawezeshwa kupata fedha kwa ajili ya kujikimu. Anayetakiwa ni msichana anayeishi Dar ofisi ipo maeneo kati ya Magomeni na Manzese. Kama kuna mtu unamfahamu please mpe ujumbe huu
Kuna jamaa kanipa kazi ya kutafuta mtu aliyesoma uhasibu (Fresh toka shule) ili afanye naye kazi kwa kujitolea ili apate uzoefu. Katika kujitolea atawezeshwa kupata fedha kwa ajili ya kujikimu. Anayetakiwa ni msichana anayeishi Dar ofisi ipo maeneo kati ya Magomeni na Manzese. Kama kuna mtu unamfahamu please mpe ujumbe huu
Wewe peleka mbuzi wakasadiane mahesabu
Wanajamvi
Ninaomba shule kuhusu kum-PM mtu unafanyeje? teteh theee mi kilazi kwenye hilo. Nisaidieni
mmh! haya mambo haya...​naona ungeenda tu jukwaa a love connect uweke wazi na sio volunteer tena.
Duuu, haya ndio mawazo ya watetezi wa CCM na JK....Wewe peleka mbuzi wakasadiane mahesabu