Anahitajika mpishi mzoefu wa kupika kwenye Mgahawa

Anahitajika mpishi mzoefu wa kupika kwenye Mgahawa

sas2017

Member
Joined
Jun 28, 2017
Posts
11
Reaction score
7
Mpishi mzoefu anahitajika, Kupika kwenye Mgahawa, mahali, Kivule Bomba mbili, Dar es salaam.

1. Ambaye atakuwepo masaa 24,
2. Ajisimamie mwenyewe.
3. Atafute mwenyewe, wafanyakazi atakaofanya nao.
4. Afanye aina zote za vyakula, vinywaji.

Chips na aina zote za vyakula mchana, Asubuhi aina zote za Bites, Supu asubuhi, nyama choma, Ugali, Supu Usiku, chapati asubuhi na usiku.

Piga Simu: 0683977008
 
Mpishi mzoefu anahitajika, Kupika kwenye Mgahawa, mahali, Kivule Bomba mbili, Dar es salaam.
1. Ambaye atakuwepo masaa 24,
2. Ajisimamie mwenyewe.
3. Atafute mwenyewe, wafanyakazi atakaofanya nao.
4. Afanye aina zote za vyakula, vinywaji.
Chips na aina zote za vyakula mchana, Asubuhi aina zote za Bites, Supu asubuhi, nyama choma, Ugali, Supu Usiku, chapati asubuhi na usiku.
Piga 0683977008
Mshahara kias gan wa mpishi huyo?
 
Aaliyyah mbwembwe nyiingi mara ugali wa njegere.. sijui Pilau la Kitimoto..

Haya.. fursa hiyo.
 
Yaani niwepo kazini 24hrs alafu vile vile nijisimamie mwenyewe😂

contradictions..
 
Back
Top Bottom