Wadau, anahitajika msichana wa kusimamia Stationey Sakina Arusha
Sifa za Msichana
1. Awe mkazi wa Maeneo ya Sakina au Majengo (kuepuka usumbufu wa kuchelewa kazini, nauli za kila siku n.k
2. Awe na uelewa mzuri wa Ms Office Version Zote, zaidi sana Ms Publisher
3. Awe anajua Photoshop
4. Awe na Typing Speed nzuri
5. Awe mchangamfu na mwenye lugha nzuri…..
Kwa wanaotaka kazi hii, nitumie PM yenye namba ya simu ili niipeleke kwa wahusika
hiyo stationary ipo Sakina ipi? kwa idd, raskazone au?
wasiliana na huyu 0759 161747 ni mtaalam wa fani hiyo ameifanya kwa muda mrefu sasa...atakusaidia ktk kampuni yako.yuko arushaMtaa wa Silent Inn (waswahili huita Salentini!!)
hiyo stationary ipo Sakina ipi? kwa idd, raskazone au?
Unalipa kiasi gani kwa mwezi?