Anahitajika mtaalamu wa kuendesha mradi wa nyuki

Anahitajika mtaalamu wa kuendesha mradi wa nyuki

Sabasaba

Senior Member
Joined
Jul 12, 2007
Posts
105
Reaction score
58
Ninahitaji mtaalamu wa nyuki kuendesha na kusimamia kalenda ya ufugaji nyuki, uvunaji na packing. Awe na elimu ya Diploma au cheti na uzoefu wa mambo ya nyuki na awe tayari kukaa shambani kwa zaidi ya asilimia 60 ya muda wake.

Nyumba ya kuishi ipo na huduma za msingi zinapatikana kwa mazingira ya shamba. Shamba liko Kisarawe na kuna Mizinga zaidi ya 400 huku yenye nyuki ni 304. Ni karibu na mto hivyo nyuki wanaingia muda wote kwenye mizinga hivyo usimamizi mkubwa ni usafi wa mizinga, kuvuna mazao bora na kupaki katika kiwango cha soko la ndani.

Mwombaji anayetokea maeneo ya Kibaha na Kisarawe atafikiriwa zaidi, karibu inbox kwa maelezo zaidi
 
Yaani nikiona fursa kama hizi huwa natamani ningesomea kila fani kwa maisha haya.
 
hongera sana
Ninahitaji mtaalamu wa nyuki kuendesha na kusimamia kalenda ya ufugaji nyuki, uvunaji na packing. Awe na elimu ya Diploma au cheti na uzoefu wa mambo ya nyuki na awe tayari kukaa shambani kwa zaidi ya asilimia 60 ya muda wake. Nyumba ya kuishi ipo na huduma za msingi zinapatikana kwa mazingira ya shamba. Shamba liko Kisarawe na kuna Mizinga zaidi ya 400 huku yenye nyuki ni 304. Ni karibu na mto hivyo nyuki wanaingia muda wote kwenye mizinga hivyo usimamizi mkubwa ni usafi wa mizinga, kuvuna mazao bora na kupaki katika kiwango cha soko la ndani.

Mwombaji anayetokea maeneo ya Kibaha na Kisarawe atafikiriwa zaidi, karibu inbox kwa maelezo zaidi
 
Ninahitaji mtaalamu wa nyuki kuendesha na kusimamia kalenda ya ufugaji nyuki, uvunaji na packing. Awe na elimu ya Diploma au cheti na uzoefu wa mambo ya nyuki na awe tayari kukaa shambani kwa zaidi ya asilimia 60 ya muda wake.

Nyumba ya kuishi ipo na huduma za msingi zinapatikana kwa mazingira ya shamba. Shamba liko Kisarawe na kuna Mizinga zaidi ya 400 huku yenye nyuki ni 304. Ni karibu na mto hivyo nyuki wanaingia muda wote kwenye mizinga hivyo usimamizi mkubwa ni usafi wa mizinga, kuvuna mazao bora na kupaki katika kiwango cha soko la ndani.

Mwombaji anayetokea maeneo ya Kibaha na Kisarawe atafikiriwa zaidi, karibu inbox kwa maelezo zaidi
Rafiki Asali ingependa kufanya kazi na ww katika huo mradi wako kama utakua tayari. Kwa kua ni wajasiliamali tuliokua na elimu ya kutosha ya Nyuki na Tknologia take kutoka Chuo kikuu cha DSM (UDSM) ambapo tumeamua kujiajili kwa kuanzisha kampuni kwajili ya kufanya miradi mbali mbali ya Nyuki. Kwa mawasiliano 0758789956.
 
Back
Top Bottom