Impactinglife
Member
- Apr 15, 2019
- 41
- 99
Anahitajika Mwalimu mahiri ngazi ya shahada katika somo la Jiografia na Historia au Jiografia na kiswahili. Shule ipo Mbeya Mjini na inatoa mshahara scale ya serikali..... Kama Hauna mastery of the subject na hauko vizuri discipline wise usipoteze muda wako.
Kwa mawasiliano: 0655087675.
Kwa mawasiliano: 0655087675.