wadzelino
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 225
- 385
Anahitajika mwalimu wa kujitolea hasa wa kike, awe na uwezo wa kufundisha darasa I na II, hata chini ya hapo siyo mbaya. Awe mahiri wa lugha za Kiingereza na Kiswahili, hasa kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha.
Atajitolea miezi mitatu, then atapewa mkataba kamili, kipindi anajitolea atalipwa posho, atapewa sehemu ya kulala pia.
Aliye tayari anakaribishwa.
Atajitolea miezi mitatu, then atapewa mkataba kamili, kipindi anajitolea atalipwa posho, atapewa sehemu ya kulala pia.
Aliye tayari anakaribishwa.