kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
=========UPDATE========
NAFASI ZIMEKWISHA JAA, NA HILI TANGAZO LIMEFUNGWA, ASANTE.
================
Hello bosses and roses...
Anahitajika binti wa kufanya majukumu yafuatayo kwenye kampuni inayojihusisha na utengenezaji wa software. Ataanza majukumu hayo remotely (kufanyia kazi popote alipo) kwa probation ya mwezi mmoja ambayo atakua analipwa na kupewa bonuses kisha kama akifanya vizuri atapewa mkataba na kujiunga na wengine ofisini.
Nafasi ni mbili tu
MAJUKUMU:
1) Kusimamia social media accounts za kampuni
2)Tuna apps za subscription ambapo atakuwa anawapigia wateja na kupokea simu zao endapo wakihitaji msaada (Customer care)
3)Pamoja na kazi ndogo ndogo zinazohusika na maeneo hayo.
VIGEZO:
1)Awe binti mwenye umri kati ya miaka 18 na 30
2)Awe anajua kuongea na kuandika vizuri kiswahili na kiingereza
3)Hatujali kuhusu vyeti kama uwezo wa kazi unao.
4)Location ni popote pale (remotely based) lakini akifanikiwa kuvuka probation period atachagua kuendelea kufanya remotely au kuwepo ofisini.
5)Awe anafundishika.
6)Awe na basics za IT.
Note:
Operations nyingi za kampuni ni remote based, hivyo awe na uwezo wa ku-attend cloud meetings, kuandaa report na kutumia web portals (atapewa mafunzo namna ya kutumia web portals za kampuni).
Ahsante.
NAFASI ZIMEKWISHA JAA, NA HILI TANGAZO LIMEFUNGWA, ASANTE.
================
Hello bosses and roses...
Anahitajika binti wa kufanya majukumu yafuatayo kwenye kampuni inayojihusisha na utengenezaji wa software. Ataanza majukumu hayo remotely (kufanyia kazi popote alipo) kwa probation ya mwezi mmoja ambayo atakua analipwa na kupewa bonuses kisha kama akifanya vizuri atapewa mkataba na kujiunga na wengine ofisini.
Nafasi ni mbili tu
MAJUKUMU:
1) Kusimamia social media accounts za kampuni
2)Tuna apps za subscription ambapo atakuwa anawapigia wateja na kupokea simu zao endapo wakihitaji msaada (Customer care)
3)Pamoja na kazi ndogo ndogo zinazohusika na maeneo hayo.
VIGEZO:
1)Awe binti mwenye umri kati ya miaka 18 na 30
2)Awe anajua kuongea na kuandika vizuri kiswahili na kiingereza
3)Hatujali kuhusu vyeti kama uwezo wa kazi unao.
4)Location ni popote pale (remotely based) lakini akifanikiwa kuvuka probation period atachagua kuendelea kufanya remotely au kuwepo ofisini.
5)Awe anafundishika.
6)Awe na basics za IT.
Note:
Operations nyingi za kampuni ni remote based, hivyo awe na uwezo wa ku-attend cloud meetings, kuandaa report na kutumia web portals (atapewa mafunzo namna ya kutumia web portals za kampuni).
Ahsante.