Anaitajika: Chef wa Chakula cha Kiafrica (African Food Menue)

Anaitajika: Chef wa Chakula cha Kiafrica (African Food Menue)

HR CONSULTANT

Member
Joined
Jun 7, 2010
Posts
76
Reaction score
8
Anaitajika Mpishi mwenye uzoefu mkubwa wa kipika chakula cha kiafrika kwaajiri ya mgahawa ulioko block 41 Kinondoni. Nitumie msg DM kwa mawasiliano zaidi.
 
Mcheki mzee wa Masptasapta Azam TV..
 
Anaitajika Mpishi mwenye uzoefu mkubwa wa kipika chakula cha kiafrika kwaajiri ya mgahawa ulioko block 41 Kinondoni. Nitumie msg DM kwa mawasiliano zaidi.
Kuna mpishi wa vyakula hivyo...alipata tuzo ..
Kama uko serious nimwambie ..
 
Chakula cha Kiafrika kikoje? Nijuavyo mimi Afrika ni kubwa na kila eneo wana vyakula vyao, unaposema vyakula vya kiafrika unamaanisha nini hasa?
 
Chakula cha Kiafrika kikoje? Nijuavyo mimi Afrika ni kubwa na kila eneo wana vyakula vyao, unaposema vyakula vya kiafrika unamaanisha nini hasa?

Wengine wanakula hadi konokono
 
Vyakula vipi? mbwa, konokono, senene, mlenda, kisamvu au vipi elezea.
 
Umempata mkuu chef cook mcheki 0713113718
 
Back
Top Bottom