Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ni mengi na Watanzania ni wavivu wa kujifunza.Wabongo wengi tumezoea kumuita Nairobi Fly, mara ya kwanza kujua kuna mdudu kama huyu ilikuwa mwaka 2005 nikiwa A level. Niliposikia wanamuita Nairobi Fly nikajua kuwa ni wadudu wenye asili ya Nairobi Kenya kumbe jina lake ni Narrow Bee FlyView attachment 1340604
Yote ni sahihiWabongo wengi tumezoea kumuita Nairobi Fly, mara ya kwanza kujua kuna mdudu kama huyu ilikuwa mwaka 2005 nikiwa A level. Niliposikia wanamuita Nairobi Fly nikajua kuwa ni wadudu wenye asili ya Nairobi Kenya kumbe jina lake ni Narrow Bee Fly.
View attachment 1340604
Huyo mdudu ukimgoogle kwa NARROW BEE FLY bado google inamleta kama NAIROBI FLY ina maana Google nao washamba kama waTz!?.
Au ni ushamba wa mleta mada!?..
Na kuna wajuaji washamba badala ya kujihakikishia wamezama kuchangia kwa kuwaponda watz wenzao!..Story za vijiweni zinatuchukua sana, sasa kaambiwa huko ni Narrow bee nae akakurupuka bila kujiridhisha. Kuna mmoja nilibishana nae siku moja akaamua kuingia google akawa mpole.
Sent from my iPhone using JamiiForums