Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Anaweza kupambana na mafwele ?alikuwa na nguvu za ajabu, maonyesho yake yalivutia watu wengi miaka ya 80
Wote tu wazamani na wasasa watu Bado wanapoteza muda ni namna ya kupoteza tu ndo imebadilikaZamani watu hawakuwa na mambo ya kufanya. Nikapoteze muda kuangalia mtu anavuta gari? Dah
ameokokayuko wapi sahivi?
Uzi ulee unapoteza lengo lakeameokoka
๐ameokoka
alipo me sijui ila iyo shughuli alistaafu๐
ushafeli mtihani wa necta.
swali๐"yuko wapi?"
Nakaziayuko wapi sahivi?
Muda wote upo Jf, ni mfumo wa kupoteza mda umebadilishwa. Tuenjoy kuishiZamani watu hawakuwa na mambo ya kufanya. Nikapoteze muda kuangalia mtu anavuta gari? Dah
yupo kimbiji hapa siku hizi ni afisa usafirishaji bodaboda๐
ushafeli mtihani wa necta.
swali๐"yuko wapi?"
๐yupo kimbiji hapa siku hizi ni afisa usafirishaji bodaboda
Hivi ajafa lwelii
Umenikumbusha๐
ushafeli mtihani wa necta.
swali๐"yuko wapi?"
Nimecheka sana hapaUmenikumbusha
Adam uko wapi??
Niko uchi
....
Hayamajibu yako enzi za Adam mkuu
Unaperuzi ukiwa jela mkuu!hahaha. Pdidy.Umenikumbusha
Adam uko wapi??
Niko uchi
....
Hayamajibu yako enzi za Adam mkuu