du hii kali..ukamwambie Drogba...na mie kuna siku ilinitokea hii, nilichelewa kurudi home then kuna kitu nilimuuliza (sikumbuki ilikua nini) akanijibu eti nikaulize castle lager! and she was very serious
anyway...anaonekana ana wivu sana na pia nahisi yuko "selfish" kwa sababu anapenda yeye tu kusikilizwa! kikubwa ni kuongea nae tu vizuri na kuelewana, wote mnahitaji kusikilzana na kupendana[/QUOT
ntajitahidi kuongea nae just like that, thanks