jamani huyu mtu mwachieni mungu tu nafikiri mungu
anampangia adhabu yake muda si mrefu kwa uchafu aliowatendea watanzania,,mungu si wa mkapa mungu si wa daniel yona jamani
tumoe mola mud,ole wao wachukizao wenzio maana ni bora jiwe likaviringishwa shingoni mwao,,,