kuna binti nilimtokea na alikubali kuwa mchumba wangu. Baada ya mwezi mmoja iv nilienda kumtembelea kwao na kumkuta akiwatukana wazaz wake livelive, kuanzia siku hiyo mayon mwangu nilimtoa kabisa kwan hata majirani walinidhibitishia kuwa hiyo ndo tabia yake. Mentally yuko fit na ameua six this year. Nilimwabia ukwel kuwa simhitaji tena lkn analazimisha nifanyeje?